Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
(HELSB) wamesaini hati ya makubaliano ili kurasimisha ushirikiano wa taasisi hizo mbili za
Serikali kwa ajili ya kuwawezesha Waombaji wa Mikopo kupata huduma B
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) unawakumbusha waombaji wote wa Mikopo ya Elimu ya Juu kuhakiki vyeti vya kuzaliwa na vifo katika ofisi za wilaya zilizotoa vyeti hivyo au RITA Makao Makuu...
Mwezi Septemba 2017, RITA inategemea kuanza utekelezaji wa Mpango wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa katika halmashauri zote sita (6) za Mkoa wa Lindi na Halmashauri tisa (9) za Mkoa wa Mtwara ...