Usajili wa Watoto Kuasili

Usajili wa kuasili watoto unasimamiwa na�Sheria ya Kuasili Watoto (Sura ya 335 toleo la 2002).

Taratibu za kupata Cheti cha Kuasili.

  • Wasilisha nakala ya uamuzi kutoka Mahakama Kuu.
  • Wasilisha cheti cha Kuzaliwa cha Mtoto anayeasiliwa.
  • Lipa ada halisi kwa ajili ya cheti cha kuasili mtoto (ada ya sasa ni Tsh.100,000/).

>>> MASWALI MBALI MBALI YANAULIZWA KUHUSU KUASILI

Rita Internal Search

Matangazo
Video / Picha
Sheria



Events Calendar
September 2010
SunMonTueWedThuFriSat
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930