Ufilisishaji wa Kampuni
  • Pande zinazotaka zitawakilisha maombi mahakamani ya kutaka kupata amri ya kufilisi kampuni chini ya Sheria ya Makampuni, sura ya 212 na Kanuni za Kufilisi Makampuni.
  • Mahakama itamteua Mpokeaji Rasmi (Kabidhi Wasili Mkuu) Mfilisi.
  • Mpokeaji Rasmi ataendelea chini ya Sheria ya Makampuni na Kanuni za ufilisi kutekeleza jukumu lake kama Mfilisi Kisheria.
Rita Internal Search

Matangazo
Video / Picha
Sheria



Events Calendar
September 2010
SunMonTueWedThuFriSat
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
2627282930