RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
Kabidhi Wasii Mkuu Bw. Frank Kanyusi leo Septemba 15, 2025 amefanya kikao na wadau jijini Arusha kujadili na kupitia upya huduma za wakala kwa lengo la kuziboresha.
Tags : #RITA