RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
`
Usimamizi

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) unalenga kuhakikisha usimamizi bora na wenye ufanisi wa taarifa kuhusu matukio muhimu ya maisha, usajili wa wadhamini, pamoja na kulinda mali zilizo chini ya udhamini, mali za marehemu, wadaiwa waliofilisika na watoto wadogo, ili kuhakikisha kuwa sheria inachukua mkondo wake.

Mr. Frank Kanyusi Frank
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu
Ms. Irene Joseph Lesulie
Naibu Kabidhi Wasii Mkuu
Ms. Judith Ernest Usangira
Mkurugenzi wa Huduma na Biashara
Ms. Patricia Angelo Mpuya
Mkurugenzi wa Ulinzi wa Haki za Kisheria
Ms. Robby Elias Otaigo
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
Washirika wetu
Wadau Wetu