RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
MEDIA CENTRE
Album Detail
March
17
2023
Ziara Naibu Waziri 2023
News Update
Dar es Salaam



`
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Pauline Philipo Gekul (Mb) leo Machi 17, 2023 amefanya ziara na kuzungumza na Menejimenti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hii ni ziara yake ya kwanza RITA tangu kuteuliwa kwake kuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mwezi Februari 2023.
View Full Page