Dira na Dhima
Dira
Dira ya RITA ni kuwa chombo chenye ufanisi katika utoaji wa huduma za usajili, ufilisi na udhamini.

Dhima
Dhima ya RITA ni kusimamia haki kwa usimamizi wenye ufanisi wa kumbukumbu muhimu za maisha ya binadamu, ufilisi na udhamini ili kuchangia katika maendeleo ya taifa.

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) linakusudia katika utoaji wa habari nzuri na thabiti juu ya matukio muhimu maishani, ushirikishwaji wadhamini, utunzaji wa mali chini ya udhamini, za mtu aliyefariki, muflisi, na umri chini ya utu uzima(chini ya miaka 18)  ili kuwezesha sheria kuchukua mkondo wake.

RITA ilizinduliwa rasmi tarehe 23 Juni 2006 na kuibadili Idara ya Kabidhi Wasii Mkuu katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba.


 
Rita Internal Search

Matangazo
Video / Picha
Sheria


Events Calendar
July 2010
SunMonTueWedThuFriSat
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031