Kutoka kwa Kabidhi Wasii Mkuu
Napenda kuwakaribisha wananchi wote katika tovuti yetu ambayo imeboreshwa na kutengenezwa kwa umahiri mkubwa kwa lengo la kutoa taarifa mbalimbali kuhusu kazi na shughuli zinazotekelezwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA) hususani katika juhudi za kusaidia utoaji haki kwa wananchi kupitia huduma tunazotoa.
Tovuti hii ni nyenzo ya kukupatia taarifa sahihi na za kina kuhusu aina ya huduma tunazotoa, upatiakanaji wake na gharama husika kwa pamoja ikiambatana na Sheria 9 zinazoongoza majukumu ya wakala. Aidha, tovuti hii ina video, picha na machapisho mbalimbali kwa ajili ya umma na hivyo kuifanya kuwa ni miongoni mwa sehemu muhimu za marejeo kuhusu shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Wakala.
Wakala unaendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma zake kwa njia ya kidijitali ambapo kwa sasa wananchi wanatumia mfumo wa eRITA kutuma maombi ya huduma za Usajili wa Vizazi, Vifo, Ndoa na Talaka pamoja na Udhamini. Tovuti hii ni dirisha muhimu linalomuwezesha mwananchi kuingia katika mfumo wa eRITA.
Natoa wito kwa wadau wote kuendelea kutembelea mara kwa mara Tovuti yetu na kuwasihi kuwasiliana nasi kwa maoni, ushauri na ufafanuzi zaidi juu ya huduma zetu kupitia njia mbalimbali zilizoainishwa.
Tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora na kushirikiana na wadau wote katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa wakati.
Bw. Frank K. Frank
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu
Chanzo cha kuaminika katika utoaji wa taarifa za Usajili wa matukio muhimu ya binadamu,ufilisi na huduma za udhamini
Kulinda haki za wote kwa kutoa huduma bora za usajili wa matukio muhimu,ufilisi na udhamini ili kufanya maamuzi sahihi .
Weledi, Uadilifu, Kumjali mteja, Uzalendo, Ubunifu na Ushirikiano
Chanzo cha kuaminika katika utoaji wa taarifa za Usajili wa matukio muhimu ya binadamu,ufilisi na huduma za udhamini
Kulinda haki za wote kwa kutoa huduma bora za usajili wa matukio muhimu,ufilisi na udhamini ili kufanya maamuzi sahihi .
Weledi, Uadilifu, Kumjali mteja, Uzalendo, Ubunifu na Ushirikiano
RITA) imewasilisha taarifa ya utekelezaji na usimamizi wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi za Kidini, vyama vya Siasa, vyama vya Michezo na taasisi za kijamii kwa Kamati ya Bunge Utawala, katiba na Sheria.
Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia wajumbe wa Bodi za wadhamini Jijini Dar es Salaam.
Kabidhi Wasii Mkuu Bw. Frank Kanyusi leo Septemba 23, 2024 Jijini Dodoma amefungua kikao kazi cha kuandaa sera ya uwajibikaji kwa jamii.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na viongozi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini RITA.
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeshiriki hafla ya kubadilishiana hati ya ushirikiano na Bodi ya Mikopo wa Elimu ya Juu (HESLB).
Hakuna rekodi iliyopatikana
ANNOUNCEMENT OF THE CONTINUATION OF THE DISPOSAL AUCTION OF VEHICLES AND VARIOUS OFFICE EQUIPMENTS
ANNOUNCEMENT OF THE SUSPENSION OF THE DISPOSAL AUCTION OF VEHICLES AND VARIOUS OFFICE EQUIPMENTS
AUCTION ANNOUNCEMENT OF VEHICLES AND VARIOUS OFFICE EQUIPMENT
TANAGZO KWA WAFUNGISHAJI NDOA
TANGAZO KWA BODI ZA WADHAMINI WA TAASISI
Is an annual day of celebration of the achievements of workers. It has its origins in the labour union movement, specifically the eight-hour day movement, which advocated eight hours for work, eight hours for recreation, and eight hours for rest.
Today, the Tanzanian people celebrate their Independence Day, as Tanganyika gained its independence from the British administration on December 9, 1961, as Zanzibar province gained independence, then Tanganyika and Zanzibar united together to
eRITA ni jukwaa la mtandaoni lililoanzishwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Tanzania kwa ajili ya usajili wa kielektroniki wa kuzaliwa, vifo, ndoa, talaka na usajili wa wadhamini.
Usajili unawawezesha watumiaji kusajili matukio ya kuzaliwa, vifo, ndoa, na talaka mtandaoni. Unarahisisha uwasilishaji wa maombi, uhakiki wa nyaraka, na utoaji wa vyeti rasmi kwa ajili ya utambuzi wa kisheria na upatikanaji rahisi.
Inasimamia usajili wa kufilisika na ufilisi wa kampuni, kuhakikisha utambuzi wa kisheria kwa watu binafsi au biashara zisizoweza kulipa madeni na kwa kampuni zinazovunjwa ili kutimiza majukumu ya kifedha.
Usajili na usimamizi wa mirathi, huduma za usimamizi mkuu wa umma, wadhamini waliosajiliwa, na wosia. Inahakikisha utambuzi wa kisheria, usimamizi sahihi wa mali, na uteuzi wa wadhamini kwa watu binafsi na taasisi.
Simply dial our short code to instantly view the progress of your application, receive real-time updates, and stay informed on the go—quick, easy, and accessible anytime, anywhere.