RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
MEDIA CENTRE
October
10
2025
RITA - UNDP WAKUTANA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA HUDUMA
News & Update
`

Naibu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Irene Lesulie ameongoza kikao na wawakilishi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) kuhusu namna ya kuweka mikakati ya pamoja lenye lengo la  kuboresha huduma za Wakala.

Kikao hicho kimefanyika leo Oktoba 10, 2025 katika ofisi za RITA Makao Makuu Jijini Dar es Salaam.