Swahili
|
English
Maulizo Mfululizo
|
Picha Zetu
|
Video Zetu
Wakala wa
Usajili
Ufilisi na
Udhamini
MWANZO
KUHUSU SISI
Historia
Asasi
Bodi ya Ushauri ya Wizara (MAB)
Utawala
USAJILI
Vizazi
Vifo
Ndoa
Talaka
Kuasili Watoto
UFILISI
Ufilisi watu Binafsi
Ufilisi wa Kampuni
UDHAMINI
Usimamizi wa mirathi
Mdhamini wa Umma
Miunganisho ya Wadhamini
Wosia
MIRADI YA RITA
Mkakati wa Usajili wa Watoto chini ya miaka Mitano
Mkakati wa Usajili wa Watoto walio na Umri kati ya Miaka 6-18
FOMU
GHARAMA
Usajili za gharama
Gharama za wosia
Gharama za ufilisi
Gharama za udhamini
eRITA
MAWASILIANO
Fomu ya Maoni
Ramani ya Eneo
Ofisi za Tawi
Tuma Malalamiko
FRANK KANYUSI FRANK
KABIDHI WASII MKUU NA AFISA MTENDAJI MKUU RITA
Habari na Makala
13 July, 2023
pdf
| Size: 2.5 Mb
BODI YA MIKOPO HESLB KUFUNGUA RASMI DIRISHA LA MAOMBI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MWAKA WA MASOMO 2023/2024
04 July, 2023
pdf
| Size: 3.7 Mb
UZINDUZI WA MPANGO WA USAJILI NA KUWAPATIA VYETI VYA KUZALIWA WATOTO WA UMRI CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI KAGERA
23 June, 2023
pdf
| Size: 3.8 Mb
TANZANIA NA ITALIA ZASAINI MKATABA WA SHILINGI BILIONI MOJA KUSAIDIA USAJILI WA WATOTO
»
Habari na Makala Zaidi...
Sheria
Sheria Mbalimbali za Serikali zinazoongoza RITA katika Kazi zake.
Dashibodi
Dashibodi ya usajili wa kuzaliwa
-
Chini ya umri wa miaka mitano
-
Zaidi ya umri wa miaka mitano
Facebook
Twitter
Youtube
Tweet
Albamu ya Picha
Mama Samia Legal Aid Simiyu
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) leo septemba 18, 2023 umeshiriki katika Uzinduzi wa Kampeni ya Mama Samia Legal Aid iliyofanyika Stendi ya zamani, Mkoani Simiyu. Akizindua Kampeni hiyo Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana aliwaasa wananchi kutumia kipindi hiki cha kampeni kupata huduma ya msaada wa kisheria (bure), kufahamu na kutetea haki zao za msingi.
[ View Pictures..... ]
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana (Mb) leo ametembelea ofisi za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kukagua utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe hivi karibuni kuiongoza Wizara ya Katiba na Sheria. Katika ziara hiyo aliambatana na Naibu Waziri wa ya Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul (Mb), Katibu Mkuu Bi. Mary Makondo na viongozi wengine waandamizi wa Wizara hiyo. Amewapongeza RITA kwa mafanikio yaliyopatikana na kuwatakq kuendelea kuwa wabunifu zaidi ili kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma zao hasa katika maeneo ya vijijini
[ View Pictures..... ]
MAFUNZO WATUMISHI WAPYA
Naibu Kabidhii Wasii Mkuu Bi. Irene Lesulie pamoja na Viongozi wengine wa RITA wamehudhulia mafunzo ya siku 3 yaliyotolewa kwa watumishi wapya wapatao 44 wa kada mbalimbali leo septemba 06, 2023 katika ukumbi wa RITA Makao Makuu Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
KIKAO USAJILI WATOTO KIGOMA
RITA yatoa semina kwa viongozi wa Wilaya na Mkoa wa Kigoma kuhusu Mpango wa Usajili Watoto, Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Masala Ngayalina akimwakilisha Mkuu wa Mkoa huo. Naibu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Irene Lesulie alifuatana na wataalam toka RITA.
[ View Pictures..... ]
Nanenane Mbeya 2023
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw Frank Kanyusi amekabidhi Vyeti vya Kuzaliwa kwa wananchi mbali mbali kujitokeza na kupatiwa huduma ya usajili na kupatiwa vyeti vya Kuzaliwa kwenye Maonesho ya Nane Nane Yanayoendelea Kwenye Viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.
[ View Pictures..... ]
Mkataba Tanzania na Italia
TANZANIA NA ITALIA WASAINI MKATABA WA MSAADA WA SHILINGI BILIONI MOJA KUWEZESHA USAJILI NA KUWAPATIA VYETI VYA KUZALIWA WATOTO WA UMRI CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI TANGA
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2023
Kabidhi Wasii Mkuu/ Afisa Mtendaji Mkuu Bw. Frank Kanyusi Frank na Naibu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Irene Joseph Lesulie leo Juni 18, 2023 amekutana na Wafanyakazi kutoka RITA Makao Makuu, Mikoa na Wilaya Mbalimbali Tanzania Bara kwa lengo la kuweka mikakati itakayowezesha kutekeleza majukumu ya Wakala. Kupitia kikao hicho, watumishi wamekumbushwa kufanya kazi kwa bidii na kusimamia haki kwa kufuata sheria na miongozo katika utumishi wa Umma ili kutoa huduma bora kwa wananchi.
[ View Pictures..... ]
PONGEZI
[ View Pictures..... ]
Kikao wadau wa Usajili Kagera
Wadau wa Masuala ya Usajili na utambuzi wa watu wamekubaliana kwa Pamoja kuanza kwa zoezi la usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa Watoto wa umri chini ya miaka mitano wa Mkoa wa Kagera.
[ View Pictures..... ]
Mama Samia Legal AID Manyara
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini [RITA] Leo Mei 23, 2023 umeshiriki katika Uzinduzi wa Kampeni Mama Samia Legal Aid Mkoani Manyara. Akizindua Kampeni hiyo, Naibu waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Philipo Gekul (mb) akimuakilisha Mgeni Rasmi Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewataka watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu au vikundi vya watu vinavyojihusisha na ukatili wa kijinsia hususan kwa watoto.
[ View Pictures..... ]
KIKAO NA MABALOZI
RITA YAKUTANA NA MAOFISA UBALOZI WA NCHI YA UJERUMANI, UBELGIJI, POLAND, CANADA, SWEEDEN, USWISI NA FINLAND LEO MEI 16,2023 JIJINI DAR ES SALAAM KWA LENGO LA KUJADILI UTAMBUZI WA NYARAKA ZA USAJILI WA MATUKIO MUHIMU YA BINADAMU.
[ View Pictures..... ]
Mei Mosi 2023
[ View Pictures..... ]
Tanzania Development Festival
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi maalum Dorothy Gwajima Ametembelea Banda la RITA Wakati Akifunga Tamasha la Tanzania Development Festival lililofanyika kuanzia Aprili 27 mpaka April 29 2023 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
UTOAJI WA HUDUMA BUNGENI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametembelea Banda la RITA katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
Tuandike Wosia, Waziri Mkuu
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka wananchi kote nchini kuandika wosia kwani unaweka mazingira mazuri kwa unaowapenda na unasaidia kuepusha migogoro katika jamii na amesisitiza kwamba Wosia sio uchuro. Ameyasema hayo Jijini Dodoma wakati akizindua Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia.
[ View Pictures..... ]
Sikukuu ya Muungano 2023
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
[ View Pictures..... ]
Sikukuu ya Muungano 2023
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
[ View Pictures..... ]
JUKWAA LA WAHARIRI 2023
Wakala wa Usajil Ufilisi na Udhamini (RITA) leo Aprili 01,2023 umetoa mafunzo kwa Wahariri wa vyombo vya habari Kuhusu mfumo mpya wa utoaji huduma kidijitali unaojulikana Kama eRITA. Mafunzo hayo ya siku moja yametolewa kupitia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) katika Mkutano wao wa 12 wa mwaka wa kitaaluma Mkoani Morogoro.
[ View Pictures..... ]
Ziara Naibu Waziri 2023
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Pauline Philipo Gekul (Mb) leo Machi 17, 2023 amefanya ziara na kuzungumza na Menejimenti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hii ni ziara yake ya kwanza RITA tangu kuteuliwa kwake kuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mwezi Februari 2023.
[ View Pictures..... ]
Bodi ya Ushauri RITA
Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa RITA yapokea taarifa Kuhusu mfumo wa eRITA wa kutoa huduma kidijitali.
[ View Pictures..... ]
Siku ya Wanawake 2023
Heri ya siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
HONGORA KWA KUTEULIWA
SALAMU ZA PONGEZI
[ View Pictures..... ]
Pongezi Naibu Waziri
Pongezi Naibu Waziri Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Pauline Philipo Gekul (Mb)
[ View Pictures..... ]
SALAMU ZA PONGEZI 2023
Salamu za pongezi
[ View Pictures..... ]
Kikao Viongozi wa DINI 2023
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Angela Anatory amefanya kikao leo Jijini Dar es Salaam na Viongozi wa Taasisi ya Madhehebu ya dini kwa lengo la kujadili maboresho ya huduma mbalimbali zinazotolewa na RITA.
[ View Pictures..... ]
Uzinduzi wa Bodi 2023
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema amepokea maelekezo kutoka kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba ifikapo mwaka 2025 kuhakikisha kila mtoto amesajiliwa na kupatiwa cheti cha kuzaliwa wakati na gharama nafuu huku watu wazima wakitakiwa kuwekewa mikakati ifikapo 2030 kila mwananchi awe na cheti cha kuzaliwa.
[ View Pictures..... ]
WIKI YA SHERIA 2023
RITA YASHIRIKI WIKI YA SHERIA 2023. Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA)unashiriki Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayofanyika kuanzia tarehe 22 -31 Januari 2023 katika Viwanja vya Nyerere Square mkoani Dodoma, Viwanja vya Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam pamoja na viwanja vya General Mayunga mkoani Kagera. Wiki ya Sheria imezinduliwa leo ambapo Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo kitaifa mkoani Dodoma alikuwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango. Katika mabanda ya RITA huduma mbalimbali zitatolewa ikiwa ni pamoja na elimu kuhusu huduma za Wakala, ushauri wa kisheria bure kuhusu Wosia na mirathi, Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa pamoja na maelezo ya kina kwa Bodi za wadhamini wa Taasisi kuhusu namna ya kuhuisha katiba zao.
[ View Pictures..... ]
WIKI YA SHERIA 2023
RITA yashiriki sherehe za uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya sheria mwaka yaliyofanyika leo tarehe 22 Januari 2023 kitaifa mkoani Dodoma katika viwanja vya Nyerere Square na kikanda jijini Dar es Salaam katika viwanja vya mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo kitaifa alikuwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ambapo kwa upande wa Kanda ya Dar es Salaam alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Ilala Arch. Ng`wilabuzu Ndatwa Ludigija aliyemuwakilisha Mkuu wa mkoa Mhe. Amos Makalla.
[ View Pictures..... ]
Bodi mpya ya Ushauri ya Wakala
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro anatarajiwa Kwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Bodi mpya ya Ushauri ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA).
[ View Pictures..... ]
Baraza la Wafanyakazi kikao 26
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewataka watumishi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuacha uzembe, uvivu na wachape kazi Kwa bidii na ubunifu ili kuharakisha kasi ya utoaji wa huduma kwa Wananchi. ameyasema hayo leo Disemba 21, 2022 Jijini Arusha wakati akifungua kikao Cha 26 cha Baraza la Wafanyakazi RITA.
[ View Pictures..... ]
KIKAO CHA WADAU MKOANI KAGERA
Wadau wa Masuala ya Usajili na utambuzi wamekutana kujadili na kuweka mikakati itakayowezesha kutekeleza Mpango wa Usajili na Kuwapatia vyeti vya Kuzaliwa bila ya malipo watoto wote wa umri chini ya miaka mitano Mkoani Kagera.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU
RITA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU KITAIFA MKOANI ARUSHA
[ View Pictures..... ]
ZIARA YA MAFUNZO MKOANI MBEYA
ZIARA YA MAFUNZO MKOANI MBEYA Lengo la ziara ni kujifunza na kupata uzoefu wa jinsi Tanzania ilivyoweza kuleta mageuzi makubwa katika Usajili wa vizazi kupitia Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano unaotekelezwa katika mikoa 23 nchini.
[ View Pictures..... ]
RITA YAPOKEA UGENI
RITA YAPOKEA UGENI KUTOKA ETHIOPIA NA SIERA LEONE KWA ZIARA YA MAFUNZO KUHUSU USAJILI WA VIZAZI Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imepokea ugeni watu 16 kutoka nchi za Ethiopia na Siera Leone waliokuja kwa ziara ya Mafunzo katika maeneo ya Usajili wa Vizazi, utambuzi na Takwimu ambao watakuwa hapa nchini kwa ziara ya siku nne. Lengo la ziara hii ni kujifunza na kupata uzoefu wa jinsi Tanzania ilivyoweza kuleta mageuzi makubwa katika Usajili wa vizazi kupitia Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano unaotekelezwa nchini. Aidha, watapata maelezo ya kina ya jinsi Simu za Kiganjani zilivyoweza kutumika kutuma taarifa za watoto waliosajiiwa kwenda kwenye kanzidata ya Wakala. Mpaka sasa Mpango huo unatekelezwa katika Mikoa 23 ya Tanzania Bara na umewezesha zaidi ya watoto milioni 8.1 kusajiliwa na kupata vyeti vya kuzaliwa Mpango huu unatekelezwa kwa kusogeza huduma za usajili karibu na wananchi hivyo huduma kupatikana katika Ofisi za Watendaji Kata na Vituo vya Tiba Vinavyotoa Huduma ya mama na Mtoto . Wageni hao watatembelea Vituo vya Usajili katika mikoa ya Dar es Salaam na Mbeya na pia katika Ofisi kuu za NIDA zilizopo Kibaha Mkoani Pwani.
[ View Pictures..... ]
KIKAO CHA TATHMINI TABORA
KIKAO CHA TATHMINI YA USAJILI WA WATOTO WA UMRI CHINI YA MIAKA MITANO- TABORAMkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Buriani ameongoza Kikao cha Tathmini ya Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri chini ya Miaka Mitano ulioanza kutekelezwa mkoani Tabora Mwezi June 2022. Katika hotuba yake Dkt. Buriani amesema kwamba Usajili kupitia mpango huu umeweza kuongeza kiwango cha Usajii wa Watoto kwa Mkoa wa Tabora kutoka asilimia 9 mpaka asilimia 49 hivyo kuna ongezeko la asilimia 40. Ameongeza kwamba Mkoa utahakikisha kwamba watoto wote ambao hawajapata huduma wanasajiliwa kwani ni haki yao ya Msingi ya Kutambuliwa na kuwataka Wasajili wasaidizi wote waendelee kutekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu ili kuhakikisha watoto wanaopata vyeti vya kuzaliwa ni wale tu wanaostahili.Akiwasilisha salamu za Wizara ya Katiba na Sheria, Katibu Mkuu Bi. Mary Makondo amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kwa lengo la kuleta maboresho ya mfumo wa usajili kupitia Mkakati wa Kitaifa wa Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu na kuongeza kwamba Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri chini ya Miaka Mitano ni uthibitisho wa sehemu ya juhudi za Serikali kuhakikisha watoto wanasajiliwa na kupata nyaraka ya awali na ya msingi ya utambulisho ambayo ni cheti cha kuzaliwa.Naye Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi. Angela Anatory ameeleza kwamba Mpaka sasa Mpango huu unatekelezwa katika mikoa 23 ya Tanzania Bara ambapo zaidi ya watoto 8,106,469 wamesajiliwa na kupata vyeti vya kuzaliwa hivyo kuongeza kiwango cha usajili wa watoto nchini kutoka asilimia 13 na kufikia asilimia 65 hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya mfano katika kuleta mageuzi makubwa katika usajili barani Afrika. Ameongeza kwamba anatoa shukrani kwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa, viongozi na watendaji wote kwa ushirikiano ambao wametoa kwa Wakala na wadau wengine kuanzia hatua za mwanzo za maandalizi mpaka kufikia hatua hii.
[ View Pictures..... ]
DODOSO LA WOSIA
Kushiriki tunaomba BOFYA link hii https://ee.kobotoolbox.org/single/IGmaYlHb
[ View Pictures..... ]
MKUTANO MKUU WA MAWAKILI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dkt. Damas Ndumbaro amewataka mawakili wa serikali ya Tanzania kutekeleza majukumu ya serikali kwa kuzingatia sheria kwa maendeleo ya nchi. Dkt. Ndumbaro ameongea hayo leo tarehe 30 Septemba 2022 wakati akifunga mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma. Ameongeza na kusema kuwa "katika kauli mbiu yenu nimeona kuna mambo kadhaa ikiwemo uzingatiwaji wa sheria hivyo sisi kama mawakili wa serikali tuhakikishe tunazingatia sheria na haki kwa maendeleo ya Taifa letu la Tanzania na kusaidia kuepukana na migogoro mbalimbali inayosababishwa na ukosefu wa haki katika jamii yetu". Mawakili kutoka RITA wameshiriki kikao hicho kilichofanyika kwa siku tatu huku Wakala ukitoa huduma ya Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa, msaada wa kisheria kuhusu kuandika na kuhifadhi Wosia na Mirathi pamoja na elimu kwa umma kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na RITA. Aidha, Dkt. Ndumbaro amewataka mawakili hao wa serikali kutunza siri za serikali na kujikita zaidi katika matumizi ya TEHAMA yanayozingatia sheria na weledi na kuepuka kutumia vibaya mitandao kuchafua sifa ya serikali.
[ View Pictures..... ]
KIKAO CHA MAWAKILI WA SERIKALI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua rasmi kikao kazi cha mwaka na kuzindua Chama cha Mawakili wa Serikali leo tarehe 29 Septemba,2022 Jijini Dodoma. Mawakili kutoka RITA wameshiriki kikao hicho huku Wakala ukitoa huduma ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa, msaada wa kisheria kuhusu kuandika na kuhifadhi Wosia na Mirathi pamoja na elimu kwa umma kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na RITA.
[ View Pictures..... ]
KIKAO MAWAKILI WA SERIKALI2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua rasmi kikao kazi cha mwaka na kuzindua Chama cha Mawakili wa Serikali leo tarehe 29 Septemba,2022 Dodoma
[ View Pictures..... ]
Tume Haki za Binadamu 2022
Waziri was Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Ndumbaro ameiagiza RITA kuhakikisha wanatumia fursa za maonesho mbalimbali na programu za kuwafuata Wananchi sehemu wanakoishi ili kuwapatia huduma badala ya kuwasubiri ofisini. Amesema hayo wakati alipotembelea banda la RITA katika maadhimisho ya Miaka 20 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
Menejimenti RITA na Wizara
Naibu waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geophrey Mizengo Pinda amewataka watumishi kuheshimu na kuzingatia Sheria za utumishi wa Umma sambamba na kuheshimiana kila mmoja wakati wa utekelezaji wa majukumu ya kila siku.hayo ameyasema tarehe 6 Septemba,2022 Jijini Arusha katika kikao kazi cha Wizara na Menejimenti ya RITA.
[ View Pictures..... ]
Taarifa ya utekelezaji wa
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dkt Damas Ndumbaro leo tarehe 11 Agasti, 2022 Jijini Dar es salaam amefanya kikao na Menejimenti ya RITA na kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wakala wa Usajili Ufikisi na Udhamini (RITA).
[ View Pictures..... ]
CRVS Day Afrika 2022
Tanzania hii leo tarehe 10 Agasti, 2022 imeungana na Mataifa mengine Barani Afrika kuadhimisha siku ya Usajili wa matukio muhimu ya Binadamu na Takwimu, ambayo ni Vizazi,Vifo na sababu zake, ndoa, talaka na watoto wa kuasili.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro.tukio hilo limefanyika katika Viwanja vya sgule ya Msingi Gongolamboto Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
Error converting image (create thumbnail). The file "/usr/www/users/ritaag/files/album/IMG_20220808_232333_860.jpg" is invalid.
MAONESHO YA NANENANE
RITA yashiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya wakulima(Nanenane) yaliyofanyika leo hii kitaifa mkoani Mbeya katika viwanja vya John Mwakangale. -Katika maadhimisho hayo Wakala umetoa huduma ya kusajili na kutoa cheti cha kuzaliwa, msaada wa kisheria kuhusu Wosia na Mirathi pamoja na elimu kwa umma kuhusu Ndoa, Talaka, Ufilisi na Udhamini. Kauli mbiu katika sherehe hizo ilikuwa ni "Kilimo ni biashara, shiriki kuhesabiwa kwa mipango bora ya kilimo, mifugo na uvuvi", ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mheshimiwa Rais wa Serikali awamu ya tano, Samia Suluhu Hassan.
[ View Pictures..... ]
Ziara Nyasa na Mbinga
ZIARA YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MHE. DKT. DAMAS NDUMBARO KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA RITA KATIKA WILAYA YA NYASA NA MBINGA.- Wanafunzi wote nchini wawe na vyeti vya kuzaliwa ifikapo 2025- Serikali imedhamiria kuifanya RITA kuwa ya Kidigitali- Amewataka watoa huduma za RITA kuwa waadilifu kwa kufuata sharia, taratibu na Miongozo ya Kazi- Watendaji ngazi ya Wilaya na Halmashauri watakiwa kuwafuata wananchi walipo ili kuwasajili.
[ View Pictures..... ]
Ziara Namtumbo Ruvuma
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dr. Damas Ndumbaro ametembelea na Kukagua Utekelezaji wa Majukumu ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini( RITA) katika Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma. Katika ziara hiyo alipewa Ripoti ya hali ya Usajili wa Vizazi, Vifo, Ndoa na Talaka na pia kujionea kwa vitendo kazi inavyofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Katika Kituo cha Tiba ambacho kinatoa huduma ya Usajili na kutoa vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano. Akiongea na Viongozi wa Wilaya Mhe. Ndumbaro amesema kwamba Serikali kupitia Wizara yake imedhamiria kuifanya RITA iendeshe shughuli zake kidigitali ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi hasa wa Vijijini kupata huduma kwa Urahisi
[ View Pictures..... ]
Mkutano na Wadau
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo amesema kuwa Serikali kupitia Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA) utafanya utafiti Kwa lengo la kubaini kiini kinachosababisha kuwepo mwitikio mdogo katika kuandika wosia.
[ View Pictures..... ]
RITA,Bodi ya Mikopo na Posta
RITA, Bodi ya Mikopo, Shirika la Posta watakiwa kufanyia kazi changamoto za Wanafunzi wanaoomba Mikopo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda amezitaka taasisi zote zinazoshirikiana na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu kuongeza ufanisi kwa kutoa huduma kwa weledi na kutatua changamoto wanazozipata waombaji wa Mikopo ya Elimu Juu ili kuwawezesha kupata huduma hiyo kwa wakati. Ameyasema hayo wakati akizindua Mwongozo wa Uomabji Mkopo kwa mwaka wa masomo 2022-2023 na kuongeza kwamba Serikali inategemea kutoa mikopo kwa wanafunzi 205,000.
[ View Pictures..... ]
Kikao cha tathimini Manyara
Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri chini ya Miaka Mitano kimefanyika Mkoani Manyara na kubainisha zaidi ya Watoto 259,317 sawa na asilimia 80.2 wamesajiliwa na kupata vyeti vya kuzaliwa Mkoani humo katika kipindi cha mwaka mmoja tangu ulipozinduliwa Mwezi Mei 2021.
[ View Pictures..... ]
Hitimisho Mafunzo 2022
Watumishi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wanatakiwa kufahamu vipaombele vya Taasisi kupitia Mpango Mkakati wa Wakala ambao unabainisha mwelekeo wapi Taasisi ilikotoka, ilipo sasa na inapoelekea. Hayo yamesemwa na Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu Bi. Angela Anatory wakati wa kuhitimisha kikao na mafunzo ya siku mbili kwa Wafanyakazi yaliyofanyika tarehe 18-19 Juni,2022 katika ofisi za RITA Makao Makuu Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
Mkutano wa Wafanyakazi 2022
Watumishi wa Umma wanao wajibu wa kuwahudumia wananchi kwa kutanguliza uzalendo, uadilifu na kufanya kazi kwa Kujituma ili kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi. Hayo yamesemwa na Kabidhi Wasii Mkuu na Mtendaji Mkuu wa RITA Bi. Angela Anatory wakati akifungua mkutano wa wafanyakazi ulioambatana na mafunzo maalum kuhusu kuzuia na kupambana na rushwa, Masuala ya jinsia, Magonjwa sugu yasiyoambukizwa pamoja na Upimaji wa VVU.
[ View Pictures..... ]
Siku ya Mtoto wa Afrika 2022
Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika ni matokeo ya Azimio lililopitishwa na uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) mwaka 1990 kwa lengo la kumbukizi ya Watoto wa Kitongoji cha Soweto nchini Afrika Kusini waliouawa mnamo tarehe 16 Juni, 1976 kutokana na ubaguzi wa rangi. Watoto hao walikuwa wakidai haki zao za kutobaguliwa sambamba na haki nyingine za msingi za binadamu ikiwemo haki ya kupata elimu bora huku wakipinga mifumo ya elimu ya kibaguzi. Ili kuwakumbuka na kuunga mkono madai ya haki za watoto hao, OAU iliazimia kuwa tarehe 16 Juni kila mwaka iwe siku maalum ya kumbukizi ya Mtoto wa Afrika. Je umempatia mtoto wako haki yake ya kutambuliwa kwa kusajiliwa na kupatiwa cheti cha kuzaliwa? Kama tayari hongera kwa kutimiza wajibu wako na kama bado basi hujachelewa fanya hivyo ili Mtoto wako atimize ndoto katika maisha yake hapo baadaye kwa kumfungulia fursa ya elimu,matibabu na ajira.
[ View Pictures..... ]
RITA-NHIF Wakutana
RITA- NHIF wajadili kuhusu uhakiki wa taarifa zitokanazo na usajili wa matukio ya vizazi, vifo, ndoa na talaka pamoja na watoto wa kuasili ili kuboresha utoaji wa huduma kwa jamii. Viongozi hao wamekutana leo tarehe 15/06/2022 katika ofisi za RITA Makao Makuu ambapo Kwa upande wa NHIF umeudhuriwa na Meneja Uanachama, Bi. Salome Manyama, Meneja Masoko na Huduma kwa wateja, Bw. Hipoliti Lello na Meneja Huduma za Tehama, Bw. Bakari Mhamali. Kwa upande wa RITA Meneja Usajili, Bi. Patricia Mpuya akimwakilisha Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa mtendaji mkuu, Bi. Angela K. Anatory, wengine ni kaimu Mkurugenzi wa TEHAMA Bw. Nicholaus Muhanyiwe, Afisa tehama Bi.Robi Otaigo na Msajili mwandamizi wa ndoa na talaka Bi. Jane Balongo.
[ View Pictures..... ]
Mkuu wa Mkoa wa Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Buriani amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya Utekelezaji wa Mpango wa Kusajili na Kutoa Vyeti vya Kuzaliwa Bila Malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5 katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui na Manispaa ya Tabora Manispaa.
[ View Pictures..... ]
SENSA 23 AGOSTI, 2022
[ View Pictures..... ]
Ukaguzi wa usajili Tabora
Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Angela Anatory ametembelea na kukagua vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto na Ofisi za Watendaji Kata ambapo zoezi la usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa linafanyika, pia amezungumza na Wananchi waliofika kupatiwa huduma katika vituo hivyo hii leo Mkoani Tabora.
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI USAJILI WATOTO TABORA
Mpango wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto wa umri chini ya miaka mitano wa Mkoa wa Tabora umezinduliwa rasmi hii leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.). Mkoa wa Tabora una wilaya 7 na halmashauri 8 ambazo zitatekeleza Mpango huo kwa kutumia vituo vya Tiba na Ofisi za Watendaji Kata ambavyo jumla yake ni 542 na kutarajia kusajili watoto zaidi ya 549,167 walio na umri chini ya miaka mitano.
[ View Pictures..... ]
USAJILI WA WATOTO TABORA
Kikao cha hamasa kwa viongozi wa Mkoa na Wilaya kuhusu usajili wa Watoto wa umri chini ya miaka mitano Mkoa wa Tabora
[ View Pictures..... ]
Wadau Tathimini na Ufuatiliaji
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeshiriki kongamano hilo ikiwakilishwa na Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Angela Anatory akiwa ameambatana na wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini. Vile vile Wakala umekabidhiwa tuzo ya kuthamini mchango wake kufanikisha kongamano hilo lililofanya ukumbi wa PSSF Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
MIAKA 58 YA MUUNGANO
Tunaendelea kushikamana na kudumisha Muungano Wetu
[ View Pictures..... ]
MAKABIDHIANO YA OFISI
Kabidhi Wasii Mkuu mpya Bi. Angela Anatory na Naibu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Lina Msanga wameanza kazi rasmi mara baada ya hafla fupi ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Emmy Hudson iliyofanyika hii leo katika Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Jijini Dar es salaam. Viongozi wote wawili wameahidi ushirikiano na kuendeleza mafanikio yaliyopatikana na kuwaasa watumishi kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia taratibu, kanuni, sheria na maadili ya utumishi wa umma. Aidha wamewataka watumishi kuwa wabunifu ili kuongeza ufanisi katika kuwahudumia wananchi.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2022
Kauli mbiu ya mwaka huu ni: "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WANAWAKE TANGAZO 2022
Siku ya Wanawake Duniani katika Viwanja vya Uhuru Jijini Dar es Salaam RITA inatambua mchango na umuhimu wa Mwanamke katika kujenga Jamii na Taifa kwa ujumla. Kauli mbiu ya mwaka huu ni: "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
[ View Pictures..... ]
ZIARA MHE.WAZIRI SIMBACHAWENE
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Simbachawene hii leo Jijini Dar es salaam amefanya ziara katika ofisi za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na kuridhishwa na maboresho yanayoendelea kufanyika katika utoaji wa huduma za usajili wa vizazi, vifo na bodi za Wadhamini kwa mfumo wa kielektoniki kupitia e-Huduma huku akiagiza kuharakishwa kwa mfumo utakaounganishwa na Mahakama ili kurahisisha kumaliza changamoto za kuchelewesha kushughulikia migogoro ya ndoa hususani talaka, mirathi pamoja na bodi za wadhamini kwa kusubiri taarifa za hukumu kutoka mahakamani kwa njia ya karatasi badala ya kielektroniki.
[ View Pictures..... ]
MKUTANO WA BARAZA 2021
Mkutunano wa 24 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA)
[ View Pictures..... ]
USAJILI WATOTO RUKWA KATAVI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi hii leo katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi amezindua rasmi Mpango wa Usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano wa Mikoa ya Rukwa na Katavi. Kupitia hotuba yake Mhe. Prof. Kabudi ametoa maagizo kwa viongozi wa Mikoa hiyo miwili na mingine inayopakana na nchi jirani kusimamia zoezi hilo kwa uadilifu na umakini kwa kushirikiana na taasisi nyingine za utambuzi pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha watoto wanaosajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa ni wale wanaostahili tu ambao wamezaliwa na watakaozaliwa ndani ya mipaka ya Tanzania Bara.
[ View Pictures..... ]
RITA-BODI YA BIKOPO
HESLB YAFUNGUA DIRISHA KWA WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU 2021/2022 Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) hii leo imefungua rasmi dirisha la kupokea maombi ya Mikopo na kwamba imepanga kutumia bajeti ya kiasi cha Shilingi 570 Bilioni katika mwaka wa masomo 2021/2022 na kuwanufaisha zaidi ya wanafunzi 160,000.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WAJANE MKOANI KAGERA
WANANCHI MKOANI KAGERA WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUMALIZA MIGOGORO YA MIRATHI Kukosekana kwa uadilifu na mila potofu katika jamii kumechangia kuongezeka kwa matukio ya wajane kuporwa mali, kunyanyaswa, kuteswa na baadhi yao kupoteza maisha na kusababisha watoto walioachwa na marehemu kukosa malezi bora na hivyo kuamua kukimbia mitaani na kuwa omba omba. Hayo yameelezwa hii leo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Meja Jenerali Charles Mbuge wakati wa mafunzo maalum yaliyokwenda sambamba na maadhimisho ya siku ya wajane Duniani kwa lengo la kuwajengea uwezo Makatibu Tawala wa Wilaya na Maafisa Tarafa wa Mikoa ya Kigoma na Kagera kuhusu kuandika na kuhifadhi wosia, usimamizi wa mirathi pamoja na huduma nyingine zinazotolewa na RITA. Kwa upande wa maadhimisho ya siku ya wajane yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Uhuru Platform Katibu Tawala wa Mkoa huo Prof.Faustin Kamuzora akiwasilisha hotuba kwa niaba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa amewaagiza viongozi kupitia ngazi zote kuhakikisha wanatafuta ufumbuzi wa haraka kuhusu kuongezeka kwa migogoro ya mirathi inayosababishwa kwa makusudi na baadhi ya wanandugu kwa makusudi. "Nawaagiza viongozi wa Mkoa kuanzia vitongoji, Vijiji,Kata na Wilaya kushughulikia na kumaliza migogoro ya mirathi inayosababishwa na ndugu wa marehemu wenye nia mbaya na kukosa huruma na hivyo kuwasababishia wajane na watoto kuishi kwa kutangatanga kwa kukosa msaada wa huduma mbalimbali zikiwemo malazi, chakula, mavazi na watoto kuacha shule".Alisema Prof. Kamuzora Naye mwakilishi wa Wajane Mkoa wa Kagera, Bi.Winifrida James Rwezaula alisema kupitia risala yake kuwa wajane wengi wanakosa ushirikiano mzuri kutoka katika vyombo mbalimbali vya maamuzi kuanzia ngazi za chini kabisa za serikali na hiyo ni kutokana na kwamba kundi hilo la wajane kutokutiliwa mkazo stahiki. Bi.Winfrida ametoa ombi kwa serikali kutambua rasmi kuwepo kwa wajane katika jamii ya watanzania na kuandaa mikakati ya kuwahusisha katika kila ngazi ya maamuzi kuanzia serikali ya kijiji, mtaa hadi serikali kuu. Kwa upande wake Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Emmy Hudson amesema kuwa RITA ilianzisha huduma ya kuandika na kutunza wosia hasa baada ya kuona mashauri ya mirathi yanaongezeka kwa kasi na kuchukua muda mrefu kukamilika na warithi kuchelewa kupata haki zao. Bi Hudson ameongeza kuwa Wajane ni wadau muhimu kutokana na huduma mbalimbali zinazotolewa na RITA kuwagusa moja kwa moja katika maisha yao ya kila siku, kama vile kusajili na kupata vyeti vya kuzaliwa na vifo pamoja na huduma za usimamizi wa mirathi. ‘’Pia nichukue nafasi hii kutoa wito kwa jamii kuacha kuogopa kwa kuamini mila potofu kwamba kuandika Wosia ni uchuro, imani hiyo si kweli kwani mpaka sasa tumeandika na kutunza wosia 790 kati ya hizo zilizochukuliwa ni wosia 50 na kusimamia mashauri ya mirathi 112.’’Alisema Bi Hudson. Katika maadhimisho ya mwaka huu RITA inashiriki kwenye Viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam na Mkoani Kagera kwa kutoa elimu na msaada wa kisheria bure kuhusu kuandika na kuhifadhi wosia na usimamizi wa mirathi.
[ View Pictures..... ]
HAKI MIRATHI WILAYA YA TEMEKE
Wakala wa usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Mahakama kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Temeke imezindua kampeni inayojulikana kwa jina la Haki Mirathi yenye lengo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu sheria na taratibu zinazohusu kuandika na kuhifadhi wosia pamoja na mambo ya mirathi. Akizungumza hii leo Jijini Dar es salaam wakati wa ufunguzi wa kampeni hiyo Jaji Mfawidhi Mhe. Lameck Mlacha amesema uelewa mdogo kuhusu sheria na taratibu za kufungua na kufunga mashauri ya mirathi sambamba na kuongezeka kwa matapeli wanaotumia mwanya huo kujitokeza kutoa msaada kwa ndugu wa marehemu na kufikia hatua ya kujimilikisha mali kinyume na warithi halali.
[ View Pictures..... ]
RITA /BODI YA MIKOPO
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) wamesaini hati ya makubaliano ili kurasimisha ushirikiano wa taasisi hizo mbili za Serikali kwa ajili ya kuwawezesha Waombaji wa Mikopo kupata huduma Bora na kwa wakati. Tukio hilo limefanyika hii leo Jijini Dar es salaam ambapo hati hizo zimesainiwa na Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu/ Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi. Emmy Hudson na Mkurugenzi Mtendaji wa HELSB Dr. Abdulrazak Badru.
[ View Pictures..... ]
ARUSHA MANYARA U5BRI
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Geoffrey Mizengo Pinda hii leo amezindua rasmi mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa Watoto wa umri chini ya miaka mitano wa Mikoa ya Arusha na Manyara katika hafla iliyofanyika Jijini Arusha. Kupitia mpango huo kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano na wale wanaozaliwa kila siku watasajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa bure na zoezi hilo litakuwa la kudumu katika vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na Mtoto pamoja na ofisi za watendaji kata.
[ View Pictures..... ]
Usajili wa vifo Mkoa wa Mbeya
Wananchi wa Mkoa wa Mbeya wametakiwa kuacha mara moja utaratibu wa kuzika wapendwa wao pindi wanapofariki bila kuzijulisha mamlaka zinazohusika katika eneo wanakoishi na kusababisha Serikali kuchelewa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na sababu za vifo hivyo pamoja na upatikanaji wa takwimu sahihi za matukio hayo. Agizo hilo limetolewa hii leo Jijini Mbeya na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Albert Chalamila kupitia hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Katibu Tawala wa Mkoa huo Bi. Mariam Mtunguja wakati wa ufunguzi wa warsha ya siku moja kwa viongozi wa Mkoa na Wilaya zake iliyoandaliwa na kuratibiwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuhusu kutambulisha rasmi Mfumo ulioboreshwa wa Usajili wa Vifo
[ View Pictures..... ]
TAARIFA KWA KAMATI YA BUNGE
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi.Emmy Hudson hii leo Jijini Dodoma amewasilisha taarifa kwa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa mkakati wa Taifa wa Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu Tanzania Bara.
[ View Pictures..... ]
Warsha ya Viongozi wa Dini
Wananchi wamehimizwa kujenga utamaduni wa kurasimisha taarifa au nyaraka muhimu zinazohusu familia na mali wanazomiliki na kuacha kuaminiana kienyeji kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kuondoa migogoro ya mara kwa mara inayotokea katika jamii inapotokea mwanandoa mmoja anapofariki na kuacha mali.
[ View Pictures..... ]
Siku ya Wanawake Duniani 2021
KAULI MBIU: "MWANAMKE KATIKA UONGOZI, CHACHU KUFIKIA DUNIA YENYE USAWA".
[ View Pictures..... ]
MAFUNZO YA USAJILI MWANZA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella ameaagiza watendaji wote wanaohusika na usajili wa Vizazi na Vifo kuweka mikakati itakayowezesha wananchi katika maeneno yao kusajiliwa ili kuwaondolea usumbufu wa kutokuwa na nyaraka mara wanapohitaji huduma nyingine.Pichani Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Dkt. Philis Nyimbi akisoma hotuba kwa niaba yake.
[ View Pictures..... ]
Kamati ya Katiba na Sheria
Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria imetoa wito kwa wananchi kuandika na kuhifadhi wosia katika Taasisi ya RITA ili kuepuka migogoro ndani ya familia inayosababishwa na ndugu kulazimisha kurithi mali za marehemu kinyume na taratibu na Sheria zinazosimamia masuala ya mirathi. Akizungumza hii leo katika kikao cha kamati Jijini Dodoma Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Mohamed Mchengerwa amewahimiza Wabunge wote ambao bado hawajaandika Wosia kufanya hivyo ikiwa kama sehemu ya kuwahamasisha wananchi wao kuchukua hatua mapema na kulifanya jambo hilo kuwa ni kipaumbele hasa ukizingatia migogoro na kesi nyingi zinazohusu mirathi zinatokea katika majimbo yao. "kwa kiasi kibubwa migogoro mingi hutokea na ukifuatilia chanzo chake unabaini kinasababishwa na kutoachwa muongozo unaotoa maelekezo kuhusu mgawanyo wa mali za marehemu".Alisema Mhe. Mchengerwa.
[ View Pictures..... ]
MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA
Mhe. Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hasani leo tarehe 24/01/2021 katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya kumbukumbu ya Miaka 100 ya mahakama Kuu Jijini Dodoma. RITA Kama Wadau wa Sheria Wameshiriki Katika Maadhimisho hayo ambayo yanaendelea Kitaifa jijini Dodoma Katika viwanja vya Nyerere Square na Dar Es salam kwenye viwanja Vya mnazi Mmoja ambapo kwa upande wa Dar es Salaam mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa mkoa, Bw. Abubakar Kunenge. Huduma zinazotolewa katika banda la RITA kwa upande wa Dodoma na Dar es Salaam ni ; Usajili wa vyeti vya kuzaliwa, Msaada wa kisheria kuhusu masuala ya Wosia na Mirathi pamoja na elimu kwa umma kuhusu Ndoa, Talaka, Udhamini na huduma ya Ufilisi.
[ View Pictures..... ]
MHE. WAZIRI ATEMBELEA RITA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Naibu waziri Mhe. Geoffrey Mizengo Pinda wametembelea Ofisi za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kukagua na kujionea utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya Taasisi hiyo kama sehemu ya mikakati yake ya kuzitembelea Taasisi zote zilizokuwa chini ya Wizara yake na kutatua changamoto mbalimbali zinazokwamisha utendaji wa Taasisi hizo
[ View Pictures..... ]
KAMPENI WILAYA YA ARUSHA MJINI
KAMPENI YA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WAKAZI WA WILAYA YA ARUSHA YAZINDULIWA. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Kenani Kihongosi Amezindua kampeni ya siku kumi ya kusajili na kutoa Vyeti vya Kuzaliwa wa wakazi wa wilaya yake ambayo imeandaliwa na ofisi yake, Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini ( RITA) na Mbunge wa Jimbo la Arusha. Amewataka wananchi kutumia fursa hii iliyotolewa kuhakikisha wanapata vyeti vya kuzaliwa kwani huduma hii imewafata katika maeneo yao wanayoishi. Lengo la kampeni hii ni kupunguza changamoto ya wananchi wengi kukosa vyeti vya kuzaliwa ambayo ni nyaraka muhimuhimu kwa mwananchi kwa ajili ya kupata huduma nyingine. Kampeni inafanyika katika vituo vitatu ambavyo ni : -Stendi ya Hiace Kilombero -Shule ya Msingi Moshono -Ofisi ya Mtendaji Kata Muriet
[ View Pictures..... ]
ELIMU KWA VIONGOZI WA DINI
RITA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA BARAZA LA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE TANZANIA WILAYA YA TEMEKE. -Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umetoa elimu kuhusu masuala ya Wosia,Mirathi,Udhamini, Ndoa na Talaka katika kongamano la Umoja wa viongozi wa makanisa ya Kipentekoste Tanzania(CPCT). Kongamano hilo limefanyika leo hii katika kanisa la EAGT wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
[ View Pictures..... ]
MAPOKEZI YA MAGARI YA WAKALA
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi Emmy Hudson akipokea magari mawili aina ya Land cruiser hardtop mwishoni mwa wiki Jijini Dar es salaami yenye thamani ya Tshs Milioni 240 yaliyotolewa na Serikali ya Canada kupitia Shirika la kuhudumia Watoto Duniani UNICEF ili kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa usajili wa vizazi na vifo nchini.wa kwanza kulia ni Meneja wa ugomboaji na uondoshaji wa mizigo ya Serikali GPSA Ndugu. Jimmy Abdiel, wengine ni Mkurugenzi wa Huduma na Biashara ndugu Charles Salyeem(kulia kwake) na Meneja Ununuzi Ndugu. Wilfred Masanja(wa kwanza kushoto)
[ View Pictures..... ]
WIKI YA MSAADA WA KISHERIA
RITA YASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA MSAADA WA KISHERIA. Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), umeshiriki katika sherehe za maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria zilizofanyika kitaifa mkoani Tanga katika viwanja vya Tangamano. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Tanga, Mhe. Amir R. Mruma. Kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo katika maadhimisho hayo, RITA itatoa msaada wa kisheria kuhusu masuala ya Wosia, Mirathi, Ndoa na Talaka pamoja na Udhamini kwa wananchi wa wilaya ya Korogwe. Kauli mbiu katika maadhimisho hayo ni "Usimamizi bora wa Mirathi kwa maendeleo ya familia".
[ View Pictures..... ]
Mapokezi ya magari ya Wakala
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi Emmy Hudson akipokea magari mawili aina ya Land cruiser hardtop mwishoni mwa wiki Jijini Dar es salaami yenye thamani ya Tshs Milioni 240 yaliyotolewa na Serikali ya Canada kupitia Shirika la kuhudumia Watoto Duniani UNICEF ili kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa usajili wa vizazi na vifo nchini.wa kwanza kulia ni Meneja wa ugomboaji na uondoshaji wa mizigo ya Serikali GPSA Ndugu. Jimmy Abdiel, wengine ni Mkurugenzi wa Huduma na Biashara ndugu Charles Salyeem(kulia kwake) na Meneja Ununuzi Ndugu. Wilfred Masanja(wa kwanza kushoto)
[ View Pictures..... ]
MAFUNZO KWA VIONGOZI WA DINI
RITA YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HUDUMA YA WOSIA, MIRATHI, NDOA, TALAKA PAMOJA NA UDHAMINI WILAYANI KOROGWE - TANGA. *Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umetoa semina ya siku moja kwa viongozi wa dini kwa ngazi ya wilaya, tarafa na kata kuhusu huduma za Wosia, Mirathi, Ndoa, Talaka pamoja na Udhamini. Kwa kutambua umuhimu mkubwa wa viongozi hao katika kukamilisha huduma hizo, Wakala ukaandaa mafunzo hayo ili kuzidi kuongeza uelewa kwa viongozi hao juu ya huduma hizo lakini pia kutambua changamoto wanazopitia katika utendajikazi wao na jinsi ya kuzikabili. *Mafunzo hayo ya siku moja yalihudhuriwa na viongozi kutoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilaya Korogwe, Bi. Kissa Kasongwa.
[ View Pictures..... ]
Mkutano na Wadau Jijini Arusha
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umekutana na wadau wa Usajili wa Matukio muhimu ya Binadamu na Takwimu na masuala ya utambuzi na kukubaliana kufanya kazi kwa pamoja na kuweka mikakati madhubuti itakayowezesha kusajili vizazi katika maeneo ya Mikoa inayopakana na nchi jirani bila ya kuathiri sheria na usalama wa nchi. Taasisi zilizoshiriki ni pamoja na Ofisi ya Raisi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Idara ya Uhamiaji, Mamlaka ya Vitambulisho vya Tifa (NIDA) pamoja na wawakilishi kutoka baadhi ya mikoa inatotekeleza Mpango wa Usajili wa Watoto.
[ View Pictures..... ]
ZIARA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi Emmy Hudson amefanya ziara na kutembelea katika Wilaya za Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi kwa lengo la kukagua maendeleo ya utoaji wa huduma za usajili wa vizazi na vifo kama unazingatia na kufuata sheria na taratibu za usajili hususani katika maeneo hayo ya mipakani ambako kuna mwingiliano mkubwa wa wageni kutoka nchi jirani pamoja na utekelezaji wa utoaji huduma hizo kwa njia ya kielekroniki iliyoanzishwa mapema mwaka huu kama sehemu ya maboresho na kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo karibu na Wananchi.
[ View Pictures..... ]
UHUSIANO NA WADAU
UHUSIANO NA WADAU. USAJILI WA VIZAZI: Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wakifanya usajili wa vyeti vya kuzaliwa leo hii kwa wafanyakazi wa Kiwanda cha Nondo cha Kamal Steel Tanzania kilichopo Chang`ombe jijini Dar Es Salaam.
[ View Pictures..... ]
ONE STOP JAWABU TEMEKE
TEMEKE YAHITIMISHA ONE STOP JAWABU. Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Godwin Gondwe leo amefunga rasmi kampeni ya siku 14 ya One Stop Jawabu ambayo ilizileta pamoja taasisi mbalimbali za umma na binafsi kuwahudumia wananchi. Zaidi ya wananchi 300,000 wameweza kupata huduma mbalimbali. RITA ni moja ya Taasisi iliyoshiriki kampeni hiyo ambapo zaidi ya wananchi 30,000 wameweza kusajiliwa ili kupata Vyeti vya Kuzaliwa
[ View Pictures..... ]
KAMPENI YA ONE STOP JAWABU
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Emmy Hudson hii leo ametembelea na kukagua zoezi la usajili na kuwapatia wananchi vyeti vya kuzaliwa kwenye kampeni ya one stop Jawabu inayotamatishwa katika viwanja vya Mbagala Zakhiem ambapo kesho kutwa tarehe 22 Septemba, 2020 kampeni hiyo itahamia katika viwanja vya Mwembe Yanga Manispaa ya Temeke Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
KAMPENI YA ONE STOP JAWABU
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Abubakar Kunenge aliyeambatana na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Godwin Gondwe pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Bw. Lusubilo Mwakabibi wakipatiwa maelezo kutoka kwa Msajili Mwandamizi wa Vizazi na Vifo kutoka RITA Bi Mariamu Ling'ande kuhusu huduma zinazoendelea kutolewa kwa Wananchi kwenye Kampeni ya "One Stop Jawabu" iliyozinduliwa hii leo katika viwanja vya Mbagala Zakhiem Jijini Dar es salaam. Huduma zinazotolewa ni pamoja na usajili wa vizazi na vifo, msaada wa kisheria kuhusu kuandika na kuhifadhi wosia na mambo ya mirathi.
[ View Pictures..... ]
Uzinduzi Kilimanjaro na Tanga
Watoto wapatao 584,658 kupatiwa vyeti vya kuzaliwa bure kwa kipindi cha miezi mitatu ya awali ya utekelezaji wa mpango maalum wa usajili wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano ulioanza kutekelezwa katika Mikoa ya kilimanjaro na Tanga. Akihutubia wananchi hii leo katika Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Wizara yake inaendelea kusimamia kwa karibu pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa rasilimali watu na fedha ili kufanikisha kutekeleza mpango huo katika Mikoa yote Tanzania Bara.
[ View Pictures..... ]
KAMPENI YA KUSAJILI WATOTO
Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Fadhil Juma amezindua kampeni ya kusajili na kutoa Vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa umri kati ya miaka 6-17 katika Wilaya ya Geita. Uzinduzi huo ulifanyika katika mafunzo ya siku moja ya Waratibu Elimu Kata za Wilaya ya Geita yaliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Geita. Kupitia kampeni hii wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wasio na vyeti vya kuzaliwa watasajiliwa na kupata vyeti katika Shule wanazosoma
[ View Pictures..... ]
MAONESHO YA NANENANE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amezitaka Taasisi za fedha nchini kutoa fursa za mikopo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi ili kuongeza tija katika uzalishaji. Aliyasema hayo Agosti mosi katika ufunguzi wa maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu.
[ View Pictures..... ]
U5BRI KILIMANJARO NA TANGA
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi Emmy Hudson amekutana na viongozi wa Mkoa wa Kilimanjaro na Tanga na kujadiliana kuhusu kuanza kwa utekelezaji wa mpango wa usajili wa watoto walio na umri chini ya miaka mitano mapema mwezi ujao pamoja na upatikanaji wa huduma za usajili na uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa na kifo kwa njia ya kielektroniki iliyoanzishwa hivi karibuni.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WAJANE DUNIANI
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umetoa elimu kwa wajane kuhusu kuandika na kuhifadhi wosia pamoja na msaada wa kisheria kuhusu suala la usimamizi wa mirathi. Akizungumza na Wajane hii leo jijini Dar es salaam katika semina maalum ya siku moja, Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu Bi Emmy K. Hudson amewataka wajane kutokata tamaa kutokana na migogoro ya kugombania Mali zinazoachwa na waume zao kutoka kwa ndugu wa marehemu badala yake watulie na kufuata taratibu za kisheria ili kumaliza matatizo yanayowakabili, " najua mnanyanyasika, mnateseka lakini niwahakikishie kwamba RITA ni Taasisi ya Serikali ipo itawasaidia ili haki itendeke na muweze kurudi katika hali zenu za kawaida za uzalishaji mali na kulijenga Taifa badala ya kuendelea kuishi kwa majonzi na kukata tamaa."Alisema Bi Hudson. Siku ya wajane duniani huadhimishwa kila inapofika tarehe 23 Juni ambapo nchini Tanzania kitaifa maadhimisho hayo yalifanyika mkoani Dodoma na mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto, Mhe.Ummy Mwalimu.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WAJANE DUNIANI
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) unaungana na Wajane wote duniani katika kuadhimisha siku hii muhimu. Wosia ni Msingi wa Kuwapatia Haki Wajane.
[ View Pictures..... ]
E-Huduma
Taarifa kwa Umma kuhusu kuanza kutoa huduma kwa njia ya kielekroniki,kwa maelezo zaidi soma tangazo hapo chini.
[ View Pictures..... ]
TAHADHARI KUHUSU CORONA
Uongozi wa RITA unapenda kuwakumbusha wananchi kuzingatia maelekezo ya Serikali na Wataalamu wa afya kuhusu kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona (COVID 19) ikiwa ni pamoja na kuvaa BARAKOA wanapofika kupata huduma katika ofisi za Wakala nchi nzima.
[ View Pictures..... ]
WOSIA
Kuandika Wosia ni muhimu ila haipaswi kulazimishwa.
[ View Pictures..... ]
RITA YAKABIDHI MALI MBEYA CLUB
Ofisi ya Kabidhi Wasii Mkuu (RITA) imekabidhi rasmi Mali za Mbeya Club kwa ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kuzisimamia na kuziendesha. Makabidhiano yamefanyika Mkoani Mbeya kwa kusaini Mkataba wa Makabidhiano wa mali kati ya Ofisi ya Kabidhi Wasii Mkuu ikiwakilishwa na Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Emmy Hudson na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya iliyowakilishwa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Dr. Salum Manyata. RITA ilikabidhiwa mali za Mbeya Club kama Mdhamini wa Umma baada ya kufungua shauri Mahakama Kuu kuomba kuzisimamia mali za iliyokuwa Mbeya Club kutokana na Bodi yake ya Wadhamini kutowasilisha marejesho ya kila mwaka na hivyo kutokuwa hai kwa zaidi ya miaka 35 na hivyo kukosa uhalali wa kisheria wa kuendelea kusimamia mali za Taasisi hiyo. Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Mbeya iliridhia ombi hilo kupitia Hukumu iliyotolewa na Mheshimiwa Jaji Dustan Ndunguru ya tarehe 26 Juni 2019 na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kupewa usimamizi wa mali za taasisi hiyo kama Mdhamini wa Umma (Public Trustee).
[ View Pictures..... ]
RITA YAKABIDHIWA MALI YA ITOA
RITA YAKABIDHIWA MALI ZA TAASISI YA ITOA YA NJOMBE Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Christopher Ole Sendeka ameamuru mali za Umoja wa Wakulima wa Chai Igominyi (Igominyi Tea Outgrowers Association - ITOA) ya Mkoani Njombe kukabidhiwa kwa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa ajili ya kuzisimamia baada ya kubainika Taasisi hiyo haina Bodi ya Wadhamni iliyo hai na katika kipindi cha Mpito cha kuibadili Taasisi Hiyo kuwa Ushirika. Mheshimiwa Sendeka alitoa maamuzi hayo katika kikao alichoitisha kikishirikisha Viongozi wa Mkoa na Wilaya, RITA na Viongozi wa ITOA ili kupokea Ripoti ya Timu ya Wataalamu iliyoundwa na RITA kufanya uchunguzi kuhusu malalamiko.
[ View Pictures..... ]
RITA TO REGISTER STUDENTS
Sengerema District Commissioner Hon. Emmanuel Kipole has launched a campaign to register and issue birth certificates for the district's students. During the campaign students will be enrolled and receive the service at the schools they attend
[ View Pictures..... ]
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amlaani vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyofanywa na baadhi ya wananchi dhini ya watoto wa kike na wale wakiume ambao wamekuwa wakidhalilishwa kwa kuwaingilia kinyume na maumbile. Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa Mkoani humo.
[ View Pictures..... ]
U5BRI MKOA WA RUVUMA, 2020
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme ametoa maagizo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa huo kuanza uhamasishaji na utoaji elimu kwa wananchi kuelekea utekelezaji wa mpango wa usajili kwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano.
[ View Pictures..... ]
MAKUBALIANO- UHAMIAJI NA RITA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Idara ya Uhamiaji zimesaini hati ya makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja ya utambuzi wa nyaraka kwa njia za kisasa za kidijitali ili kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi wanaoomba vyeti vya kuzaliwa na pasi za kusafiria. Akipongeza hatua hiyo hii leo Jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Wahamaji, Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Mhe. Mhandisi. Hamad Masauni amesema kuwa hatua hiyo itarahisisha utoaji wa huduma kwa haraka kutokana na matumizi ya TEHAMA katika kuhakiki taarifa za wananchi wanaoomba pasi za kusafiria.
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI U5BRI MOROGORO/ PWANI
Waziri wa Katiba na Sheria Balozi. Dkt Augustine Mahiga amezitaka taasisi mbalimbali za umma na binafsi kuondoa mashaka kuhusu vyeti vinavyojazwa kwa mkono kwani vyote ni halali kama ilivyo kwa vile vya ndoa huku akisisitiza kuwa yapo Mataifa makubwa kama vile Uingereza na Afrika kusini ambayo wanatumia vyeti kama hivi vinavyojazwa kwa mkono. "Taasisi zisiwe na wasiwasi kwani vyeti vilivyojaza na mkono na kua na nembo ya serikali ni cheti chetu halali kabisa na watumishi wako makini kwa kua wamezingatia mafunzo ya usajili kwa mujibu wa sheria,"alisema Balozi. Dkt. Mahiga.
[ View Pictures..... ]
USAJILI WATOTO MOROGORO- PWANI
Mikoa ya Morogoro na Pwani inatarajiwa kutekeleza Mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano katika mkakati wa Kitaifa utakaoanza mwanzoni mwa mwezi desemba mwaka huu. Hayo yamebainishwa katika kikao cha siku moja kilichofanyika jana Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani na leo Manispaa ya Morogoro kwa lengo la kuwajengea uwezo na uelewa viongozi mbalimbali wa ngazi ya Mkoa kabla ya utekelezaji wa mpango huo.
[ View Pictures..... ]
RITA-POSTA MKATABA
RITA na Shirika la Posta hii leo Jijini Dar es salaam wamesaini hati ya makubaliano ya huduma ya usafirishaji wa Mizigo (vitendea kazi) na nyaraka mbalimbali katika Ofisi za Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na ofisi za watendeji wa Kata na hivyo kuhakikisha usalama na kuwezesha wananchi kupata huduma bora ya usajili wa vizazi, vifo, ndoa na talaka sambamba na ukusanyaji wa nyaraka hizo kwa ajili ya kuhifadhiwa katika ofisi za RITA Makao Makuu.
[ View Pictures..... ]
MAADHIMISHO YA FIMBO NYEUPE
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe.Stella Ikupa akipata maelekezo kuhusu huduma za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kutoka kwa Wakili wa Serikali, Bw. Silvius Rwechungura katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Fimbo Nyeupe yaliyofanyika mnamo tarehe 24 Oktoba 2019 kitaifa mkoani Kigoma katika viwanja vya Mwanga Community Centre.
[ View Pictures..... ]
ZIARA UBALOZI WA MAREKANI
Ujumbe kutoka Ubalozi wa Marekani kitengo kinachohusika na kutoa Viza (Consular Section) umetembelea ofisi za RITA hii leo Jijini Dar es salaam kwa lengo la kujifunza jinsi usajili wa vizazi vifo ndoa na talaka unavyofanyika kutokana na umuhimu na uhitaji wa nyaraka hizo wakati wa maombi ya Viza.Viza.
[ View Pictures..... ]
RITA YATOA MSAADA KWA JAMII
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson akikabidhi hundi kwa Chama Cha watu wenye ulemavu wa Macho Mkoa wa Dar es salaam. Msaada huo ni kwa ajili ya ununuzi wa fimbo nyeupe pamoja na kuwawezesha kushiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya fimbo nyeupe Duniani yatakayofanyika Mkoani Kigoma Oktoba 22 na 24 mwaka huu, anayepokea hundi ni Mwenyekiti wa chama hicho Bw Paul Mathias, wengine ni Mkurugenzi wa huduma za biashara Bw, Charles Salyeem (wa kwanza kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa ulinzi na haki za kisheria Bi Lina Msanga (wa pili kulia), Bi Lucy Bupamba(watatu kulia) na Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya maonesho hayo Bw, Iddi Kiwimbi ( wa pili kushoto).
[ View Pictures..... ]
CRVS DAY 2019
''Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu ni suala la msingi katika mifumo ya kisiasa na ya utawala bora na unasaidia kujumuisha jamii katika maamuzi, kulinda haki za binadamu, kuhakikisha huduma za jamii muhimu zinawafikia wananchi na pia kuleta uwiano sawa katika masuala ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii''.Alisema Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Balozi. Dkt Augustine Mahiga katika maadhimisho ya siku ya Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu yaliyofanyika hii leo barani Afrika ambapo kwa Tanzania yameadhimishwa katika chuo cha Sheria jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
SHERIA YA UFILISI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Dkt Balozi Augustine Mahiga amepokea ripoti ya mapendekezo ya sheria yaliyowasilishwa na Tume ya Kurekebisha Sheria chini ya mwenyekiti wake Mhe, Jaji mstaafu Januari Msofe hii leo Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
TANGAZO LA UHAKIKI 2019/2020
Marudio ya tangazo la uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa na vifo.
[ View Pictures..... ]
TANGAZO LA UHAKIKI
[ View Pictures..... ]
UHAKIKI WA VYETI
Kaimu Kabidhi Wasii Mkuu wa Wakala wa Usajili ufilisi na Udhamini (RITA) Bi. Emmy Hudson akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu kuanza kwa utaratibu wa kuhakiki vyeti vya kuzaliwa na vifo kwa waombaji wa mikopo elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2019/2020. Taarifa hiyo imetolewa leo hii katika Ofisi za RITA makao makuu Dar Es Salaam.
[ View Pictures..... ]
USAJILI WATOTO DODOMA SINGIDA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umefanikiwa kusajili Watoto milioni tatu na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo kupitia Mpango wa usajili wa Watoto walio na umri chini ya miaka mitano unaoendelea kutekelezwa katika Mikoa kumi na mitatu Tanzania Bara. Hayo yamebainishwa hii leo Mkoani Singida wakati wa uzinduzi wa mpango huo kwa Mikoa miwili ya Dodoma na singida huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Balozi Dkt Augustine Mahiga.
[ View Pictures..... ]
U5BRI DODOMA NA SINGIDA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA, umetoa maagizo kwa Wakuu wa Mkoa, Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri pamoja na wataalam kutoka idara mbalimbali katika mkoa wa Dodoma na Singida wakati wa semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo viongozi wa mikoa hiyo,iliyofanyika tarehe 28 Februari 2019. Semina hiyo ilihusu suala la kujipanga ili kutekeleza Mpango wa Kusajili na Kutoa vyeti vya kuzaliwa bila malipo kwa watoto wote wenye umri wa chini ya miaka mitano unaotarajiwa kutekelezwa mwanzoni mwa mwezi Machi 2019.
[ View Pictures..... ]
KIKAO NA WADAU WA MAENDELEO
KAIMU AFISA MTENDAJI MKUU WA RITA AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi.Emmy Hudson leo alikutana na Balozi wa Italia nchini, Bw.Roberto Mengoni katika kikao kilichofanyika katika ofisi za Wakala makao Makuu jijini Dar es Salaam. Lengo la kikao hicho ilikuwa ni kujadili maeneo nchi ya Italia itakayosaidia katika kuboresha usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu hasa Vizazi na Vifo. Kikao hicho kilihudhuriwa na Wajumbe wa Menejimenti ya RITA na Wataalamu wa masuala ya Usajili na Takwimu kutoka nchini Italia.
[ View Pictures..... ]
TUZO TAARIFA BORA ZA KIFEDHA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umekabidhiwa tuzo kwa kuwa Taasisi katika kundi la Wakala bora ya Serikali ulioandaa na kuwasilisha taarifa za kifedha zenye kiwango cha Kitaifa na Kimataifa kwa mwaka 2017. Tuzo hizo zimekabidhiwa na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt Ashantu Kijaji usiku wa leo Disemba 8, 2018 katika ukumbi wa APC Bunju Jijini Dar es Salaam.
[ View Pictures..... ]
KIKAO CHA TATHMINI IRINGA
Mkuu wa wilaya ya Iringa mjini Mhe.Richard Kasesela akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi katika kikao cha tathmini kuhusu zoezi la usajili wa vifo mkoa wa Iringa kilichofanyika tarehe 23/11/2018 na kuhudhuriwa na viongozi wa Serikali wa mkoa wa Iringa,wafanyakazi wa RITA pamoja na wadau.
[ View Pictures..... ]
USAJILI WA WANAFUNZI SONGEA
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mhe Sophia Mfaume ambaye amemuakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe Christina Mndeme akitoa maagizo kwa waratibu elimu kata na viongozi wote wa Mkoa huo kuwa wazalendo na kutanguliza maslahi ya Taifa katika zoezi la usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari wa Mkoa wa Ruvuma,maagizo hayo yametolewa hii leo katika Manispaa ya Songea wakati wa mafunzo ya siku moja kwa viongozi hao.
[ View Pictures..... ]
WIZARA YAFURAHISHWA NA BODI
Wizara ya Katiba na Sheria Imeridhishwa na utendaji kazi wa Bodi ya Ushauri ya Wizara hiyo inayomaliza muda wake kwa kufanikiwa kusimamia na kutekeleza maagizo yote manne yanayohusu Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Akizungumza hii leo Jijini Dar es salaam wakati wa kupokea Taarifa ya Bodi inayomaliza Muda wake Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Prof. Palabagamba Kabudi amesema kuwa Bodi hiyo imetekeleza majukumu yake ipasavyo kwa kusimamia na kuishauri Wizara kuhusu utendeji kazi wa RITA.
[ View Pictures..... ]
USAJILI SINGIDA (5-17 BRI)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe, Dkt Rehema Nchimbi ameagiza Wanafunzi wote wa Shule za Msingi na Sekondari Mkoani humo kusajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa kabla ya kuhitimu. Maagizo hayo yametolewa leo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku moja kwa Waratibu Elimu Kata kuhusu mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari katika Wilaya ya Singida Mkoani humo.
[ View Pictures..... ]
MKOA WA KAGERA NA KIGOMA
Mikoa ya Kagera na Kigoma kwa pamoja inatarajiwa kutekeleza mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa Watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano bila ya malipo mwanzoni mwa mwezi Octoba 2018, hayo yamebainishwa wakati wa semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo viongozi wa Mikoa hiyo iliyofanyika Mkoani Kagera Tarehe 14 na Kigoma 17 Septemba 2018.
[ View Pictures..... ]
KIKAO NA WADAU
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) wamekutana hii leo katika Ofisi za RITA Makao Makuu kwa lengo la kujadili kuhusiana na masuala ya Usajili.
[ View Pictures..... ]
Wanasheria wa Serikali
Jaji Mkuu Mhe. Prof. Ibrahim Juma amewataka Wanasheria wa Serikali kuhakikisha wanatumia ujuzi, weledi na uadilifu wanapotoa ushauri kwa viongozi huku wakizingatia maslahi mapana ya Taifa na kuepuka mambo ambayo yanaweza kusababisha mkanganyiko mkubwa miongoni mwa jamii ya watanzania na hata kusababisha migongano ya kisheria na hasara kwa Serikali. Amesema hayo hii leo wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa wanasheria walio katika utumishi wa umma Jijini Dodoma ulioanza tarehe 30-31 Agosti 2018.
[ View Pictures..... ]
CRVS DAY
Hafla ya CRVS Day ilifanyika katika Shule ya Sekondari ya WAMA – NAKAYAMA iliyopo katika Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani na Mgeni Rasmi alikuwa Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Mama Salma Kikwete. Katika hafla hiyo zaidi ya wanafunzi 164 wa awali waliweza kukabidhiwa Vyeti vya Kuzaliwa bila malipo ikiwa ni mchango wa RITA , UNICEF na Bloomberg Data for Health kama sehemu ya maadhimisho.
[ View Pictures..... ]
SIKU YA CRVS AFRIKA
Maadhimisho ya Siku ya Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu Barani Afrika.
[ View Pictures..... ]
TATHIMINI MARA NA SIMIYU
Mkoa wa Simiyu umeweza kusajili watoto 337,662 ambao ni sawa na asilimia 91.7 ya watoto waliotarajiwa kusajiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu kutoka asilimia 5 ya watoto waliokuwa wamesajiliwa hapo awali. Na kwa upande wa Mkoa wa Mara umeweza kusajili watoto 336,325 ambao ni sawa na asilimia 87.7 ya watoto waliotarajiwa kusajiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu kutoka asilimia 7.1 ya hapo awali kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mpango huo .
[ View Pictures..... ]
UHAKIKI WA WANAFUNZI
Taarifa ya maendeleo ya zoezi la Uhakiki wa Wanafunzi wanaotarajia kuomba mikopo ya Masomo ya Elimu ya Juu. Kupata Orodha ya Majina ya Waliotuma maombi ya Uhakiki, tafadhali fungua upande wa Habari na Matukio.
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI WA BRS4G DODOMA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa amezindua Mifumo ya Kielekroniki ya utoaji wa huduma (TEHAMA) na kilele cha maadhimisho ya Wiki ya utumishi wa Umma hii leo katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
TANGAZO LA UHAKIKI WA VYETI
Marudio ya Tangazo la utaratibu wa uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa na vifo kwa Wanafunzi wanaoomba mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) 2018/2019
[ View Pictures..... ]
RITA - BODI YA MIKOPO
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Abdul-razaq Badru amesema hii leo jijini Dar es salaam kuwa Wanafunzi wapya zaidi ya 40,000 na wanaoendelea na masomo wapatao 80,000 kwa mwaka wa masomo 2018/2019 watapatiwa mikopo ambapo zaidi ya shilingi bilioni 427 zimetengwa kwa ajili hiyo na kwamba wanafunzi wasiwe na hofu wahakikishe wanakamilisha kwa usahihi ujazaji wa fomu pamoja na nyaraka muhimu zinazohitajika kuanzia leo tarehe 10 Mei hadi julai 15 mwaka huu.
[ View Pictures..... ]
TANGAZO KWA WAHITIMU WOTE
UTARATIBU WA KUHAKIKI VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA ELIMU YA JUU 2018/2019.
[ View Pictures..... ]
RITA - BENKI YA DUNIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na sheria Bw. Amon Mpanju akiwa katika picha ya kumbukumbu na wadau wa Kitaifa na Kimataifa ambao wamekutana hii leo Jijini Dar es salaam kujadili kuhusu Mkakati wa usajili wa matukio muhimu ya binadamu na takwimu pamoja na kuweka mfumo wa uratibu na mawasiliano baina ya wadau wa masuala ya usajili wa matukio hayo,anayefuata kulia kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya RITA Bi. Victoria Lembeli anayemfuatia (kulia) ni Mjumbe wa Bodi Bi Asha Mtwangi na kushoto kwake ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi. Emmy Hudson na anayefuata (kushoto kwake) ni Mwakilishi kutoka shirika la Maendeleo la Kanada upande wa Afya Dkt Madani Thiam.
[ View Pictures..... ]
USAJILI WATOTO MARA NA SIMIYU
Usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano wazidi kupaa kwa Mikoa ya Mara na Simiyu na kufikia asilimia 80.5 ndani ya kipindi cha wiki tatu (3) tangu kuanza kutekelezwa kwa mpango huo mnamo tarehe 14 Machi 2018.
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI U5BRI MARA NA SIMIYU
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano kwa mikoa miwili ya Mara na Simiyu. Hafla ya uzinduzi imefanyika hii leo katika viwanja vya shule ya Msingi Mukendo iliyopo manispaa ya Musoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mara ,Simiyu, wawakilishi wa Ubalozi wa Canada, Shirika la Kuhudumia watoto Duniani (UNICEF) pamoja na Kampuni ya Mtandao wa simu za Mkononi (Tigo).
[ View Pictures..... ]
USAJILI MKOA WA MARA NA SIMIYU
Mkoa wa Mara na Simiyu inatarajia kuanza utekelezaji wa mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto wenye umri chini ya miaka mitano wapatao 734,357 ambapo Mkoa wa Mara Watoto 383507 na Simiyu Watoto 351850. Mpango huo utaanza mwanzoni mwa mwezi machi mwaka huu. Tayari maandalizi yote yamekamilika ikiwemo mafunzo maalum ya siku moja yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwa viongozi wa Mikoa hiyo yaliyojumuisha Wakuu wa Wilaya zote, Wakurugenzi wa Halmashauri na wataalamu wa Idara ya afya na maendeleo ya Jamii.
[ View Pictures..... ]
MABORESHO USAJILI WA VIFO
Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) unategemea kufanya maboresho ya usajili wa vifo mwanzoni mwa mwezi machi mwaka huu ili kuwezesha upatikanaji wa takwimu sahihi za vifo na sababu zake zitakazosaidia serikali na wadau mbalimbali kuchukua hatua za kukabiliana na sababu hizo.
[ View Pictures..... ]
WIKI YA SHERIA 2018
Jaji Mkuu Frofesa Ibrahim Juma amewataka watumishi wa Mahakama na watoa haki kuwa na maadili mema na kutojihusisha na vitendo vya rushwa ili wananchi wawe na imani nao. RITA ni miongoni mwa taasisi zinazoshriki maonesho ya wiki ya sheria Katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam kwa kutoa elimu na msaada wa kisheria bure kuhusu kuandika na kuhifadhi Wosia pamoja na mambo ya Mirathi.
[ View Pictures..... ]
MALIPO NJIA YA KIELEKRONIKI
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Umeanza utekelezaji wa malipo ya ada ya huduma zake zote kupitia mfumo mpya wa Serikali wa kielekroniki unaojulikana kama Government Electronic Payment Gateway (GePG) unaotumika katika Taasisi na Idara mbalimbali za Serikali
[ View Pictures..... ]
TANGAZO LA KIFO
Mtumishi mwezetu Bi Cecilia Ignas Chimilila amefariki dunia.
[ View Pictures..... ]
MAFUNZO KUHUSU MIRATHI
RITA – Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Zanzibar wafanya mafunzo kuhusu usimamizi wa mirathi, lengo la Mafunzo hayo ni kubadilishana uzoezfu na kukuza ushirikiano uliopo baina ya ofisi hizo hasa ukizingatia mafungamano baina ya Wananchi wa Zanzibar na Tanzania Bara. Pia wamekubaliana kupitisha maazimio kumi na moja (11) katika ushirikiano huo likiwemo lile la kubadilishana uzoefu kila baada ya miezi sita.
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI U5BRI LINDI NA MTWARA
MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAANZA KUANDIKISHA NA KUWAPATIA WATOTO VYETI VYA KUZALIWA BILA YA MALIPO. Watoto wa Mikoa ya Lindi na Mtwara watanufaika katika huduma ya usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo ambayo inatolewa kwenye Ofisi za watendaji kata na vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto.
[ View Pictures..... ]
Lindi na Mtwara wapokea U5BRI
Mkoa wa Lindi na Mtwara kwa pamoja inatarajiwa kutekeleza mpango wa usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa Watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano bila ya malipo mwishoni mwa mwezi huu wa Septemba 2017. Wakuu wa Mikoa hiyo walitoa maagizo kwa viongozi wa Wilaya na Halmashauri zote kufanya maandalizi ya kuupokea na kuusimamia mpango huo sambamba na kuanza kazi mara moja ya kutoa elimu kwa jamii kujitokeza kwa wingi pindi zoezi hilo litakapoanza kutekelezwa katika vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto pamoja na Ofisi za Watandaji
[ View Pictures..... ]
ZIARA YA MHE,WAZIRI WA KATIBA
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi amefanya ziara hii leo katika ofisi za RITA Makao Makuu Jijini Dar es salaam na kutembelea Idara na Vitengo mbalimbali pamoja na kujionea ufanisi na maboresho ya teknolojia ya TEHAMA katika utoaji wa huduma kwa Wananchi.
[ View Pictures..... ]
BRS4G MKOA WA DAR ES SALAAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda amewaagiza Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na viongozi wengine wa Mkoa kuhamasisha wananchi katika maeneo yao kujisajili ili wapate vyeti vya Kuzaliwa. Mhe. Makonda aliyasema hayo katika Semina iliyoandaliwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa viongozi hao kuwashirikisha maboresho yanayoendelea kufanyika Katika Mfumo wa Usajili kupitia Mkakati wa Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu (Civil Registration and Vital Statistics – CRVS) na Maboresho ya Mfumo wa Tehama katika Usajili (Birth Registration Syestem 4th Generation – BRS4G), Semina hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Arnautoglou jijini Dar es Salaam.
[ View Pictures..... ]
UHAKIKI WA VYETI
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson amewataka waombaji wote wa Mikopo ya Elimu ya Juu kuhakiki vyeti vya kuzaliwa na vifo katika ofisi za wilaya zilizotoa vyeti hivyo au RITA Makao Makuu wakati wa Mkutano wa pamoja na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu katika Ukumbi wa Habari Maelezo hii leo Jijini Dar es salaam,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Bw Abdul-Razaq Badru mwingine ni Afisa Usajili mwandamizi wa Vizazi na Vifo Adam Mkolabigawa.
[ View Pictures..... ]
SEMINA YA WAHARIRI.
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi akibadilishana mawazo na baadhi ya wahariri wakongwe aliyowahi kufanya nao kazi katika tasnia hiyo miaka ya 1970 wakati wa semina ya kuwajengea uwezo kuhusu Mkakati wa Kitaifa wa Usajili wa matukio muhimu ya binadamu na takwimu iliyofanyika hii leo Mkoani Morogoro.
[ View Pictures..... ]
RITA- Mrajis Zanzibar.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Emmy Hudson amefanya mazungumzo hii leo Jijini Dar es salaam na Mrajis wa vizazi na Vifo kutoka Zanzibar Shaaban Abdallah pamoja na Mkuu wa kitengo cha usajili kutoka Mfuko wa hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Khatibu Iddi Khatibu na kukubaliana kufanya kazi kwa pamoja na kubadilishana uzoefu na taarifa mbalimbali zinazohusu usajili wa Vizazi ,Vifo,Ndoa na Talaka.
[ View Pictures..... ]
Mkutano wa Wadau kuhusu CRVS
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi akizungumza na wawakilishi na Viongozi wa Wizara hiyo,Taasisi, Idara mbalimbali za serikali na Wadau wa Kimataifa wa Maendeleo katika Mkutano na Wadau kuhusu usanifu Mpango wa Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na ukusanyaji wa Takwimu (CRVS) uliofanyika hii leo katika Ukumbi wa Mikutano wa LAPF Makao Makuu Dodoma.
[ View Pictures..... ]
USAJILI MKOA WA SHINYANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Zainab Telack akizungumza na Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Halmashauri,Maafisa waratibu wa Usajili wa Watoto,Maafisa wa RITA pamoja na wawakilishi wa UNICEF katika kikao cha tathimini ya Mpango wa kuwapatia vyeti vya kuzaliwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.
[ View Pictures..... ]
Usajili Geita Shinyanga
Mkoa wa Shinyanga na Geita huwenda ikafikia malengo kwa asilimia 100% ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano ndani ya kipindi cha miezi mitatu badala ya miezi sita iliyowekwa katika mikoa yote miwili. kwa sasa Watoto wenye vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 91%
[ View Pictures..... ]
TANZIA
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) anasikitika kutangaza kifo cha Mfanyakazi mwenzao Bi Winfrida Chezi Lukoa kilichotokea tarehe 10 Aprili 2017 katika Hospitali ya Hindumandal Jijini Dar es salaam baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.
[ View Pictures..... ]
USAJILI GEITA NA SHINYANGA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt Harrison Mwakyembe(MB) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa usajili wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kwa Mkoa wa Geita na Shinyanga,wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga na Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Zainabu Telack wengine ni wawakilishi wa Mashirika ya Maendeleo ya kimataifa pamoja na viongozi Mbalimbali wa Dini na vyama vya Siasa.
[ View Pictures..... ]
Usajili Wanafunzi Temeke
Afisa Usajili Mwandamizi kutoka RITA Bw Henry Bitegeko akitoa ufafanuzi kuhusu Mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Wanafunzi wa shule za Msingi Manispaa ya Temeke katika mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo Walimu watakaofanya usajili huo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa ya Temeke Jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Afisa elimu Msingi Bi Silvian Ntasigwa Mwingine ni Afisa elimu Taaluma Bi Joyce Senkoro.
[ View Pictures..... ]
Makabidhiano ya tuzo
Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amekabidhi Tuzo na Hati za Pongezi kwa Viongozi wa Mikoa ya Iringa na Njombe kwa kufaikisha na kutekeleza kikamilifu Mpango wa Usajili na kutoa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto walio na Umri chini ya Miaka Mitano uliozinduliwa katika Mikoa hiyo tarehe 22 Septemba 2016.
[ View Pictures..... ]
Siku ya sheria
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mhe Alli Hassan Mwinyi akiongoza matembezi ya Wiki ya utoaji elimu ya sheria kuadhimisha kuanza mwaka mpya wa Mahakama (siku ya sheria) kutokea Mahakama ya kisutu hadi viwanja vya mnazi Mmoja hii leo tarehe 29/01/2017 Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
RITA YAVUKA MALENGO YA USAJILI
RITA YAVUKA MALENGO USAJILIWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KWA MKOA WA NJOMBE NA IRINGA. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson akiongea na Waandishi wa Habari hii leo Jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio ya Mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto wenye umri chini ya miaka mitano kwa Mkoa wa Njombe na Iringa, kulia kwake ni Mkurugenzi wa TEHAMA Bw Cuthbert Simalenga na Kushoto kwake ni Meneja Usajili wa Vizazi ,Vifo Ndoa na Talaka Bi Angela Anatory. Kwa mujibu wa takwimu tangu mpango huo uzinduliwe kwa Mikoa hiyo miwili mnamo tarehe 22 Septemba 2016 hadi sasa ni asilimia 98% kutoka asilimia 8.5% ya awali kwa Mkoa wa Njombe na Iringa kutoka asilimia 11.7% na kufikia asilimia 95% ndani ya kipindi kifupi.
[ View Pictures..... ]
MAFUNZO VIFAA TIBA.
Waelimisha rika wakiongozwa na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson wamepatiwa mafunzo kutoka kwa Afisa Mwitikio wa Taasisi za Umma wa TACAIDS Dkt Hafidhi Ameir jinsi ya kutumia vifaa tiba vitakavyowekwa kwa ajili ya kupimia Wafanyakazi magonjwa mbalimbali sugu yasiyoambikiza na kupewa kipaombele, mafunzo hayo yamefanyika hii leo Jijini Dar es salaam huku yakiambatana na upimaji wa afya kwa hiari kwa lengo la kujifunza zaidi kwa vitendo namna ya kutumia vifaa hivyo na kutoa ushauri ,msaada wa huduma ya kwanza pamoja na kukabiliana na magonjwa hayo mahala pa kazi.
[ View Pictures..... ]
Wadau wa Masuala ya Usajili
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya katiba na Sheria Bw Amon Mpanju akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau kutoka Nchini Ghana, Marekani na mashirika ya Kimataifa ya maendeleo waliokutana hii leo Mjini Bagamoyo Mkoani Pwani kwa lengo la kujadili Mifumo mbalimbali ya kisheria inayosimamia masuala ya usajili wa matukio muhimu ya Binadamu na Ukusanyaji wa takwimu,kulia kwake ni Kaimu Afisa Mtenjaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson na kushoto kwake ni Msajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu kutoka Marekani state ya Hawii Bw Alvin Onaka Mwingine ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi Erica Yegela.
[ View Pictures..... ]
Uzinduzi Usajili wa Watoto
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt Harrison Mwakyembe akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa Kitaifa wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto wenye Umri chini ya Miaka mitano kwa Mkoa wa Njombe na Iringa. Uzinduzi ulifanyika katika Viwanja vya Mwembetogwa Mkoani Iringa. Wengine kutoka kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa UNICEF Bi Maniza Zaman, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Amina Masenza, Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Dkt Rehema Nchimbi na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya RITA Prof Hamisi Dihenga.
[ View Pictures..... ]
U5BRI MKOA WA IRINGA NA NJOMBE
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Amina Masenza akitoa maagizo hii leo katika Ufunguzi wa Mafunzo ya siku moja yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa VETA lengo ni kuwajengea uwezo Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wake kuhusu kusimamia kikamilifu Mpango mpya wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo Kwa watoto wenye Umri chini ya miaka mitano ambapo utekelezaji wake utaanza hivi karibuni katika Mikoa ya Iringa na Njombe, kulia kwake ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson, anayemfuatia kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela na Mwingine ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw Nuhu Mwasumilwe.
[ View Pictures..... ]
RIPOTI UHAKIKI ASASI ZA KIRAIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Harrison Mwakyembe akikabidhiwa taarifa ya pamoja ya Taasisi za Serikali zinazojishughulisha na masuala ya usajili wa Asasi za kiraia kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw Amon Mpanju wakati wa mkutano na Waandishi wa habari Hii leo katika ukumbi wa Mikutano wa RITA Makao Makuu Jijini Dar es salaam.
[ View Pictures..... ]
Mhe Waziri Dkt Mwakyembe
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Dkt Harrison Mwakyembe akipokea taarifa ya mrejesho wa uhakiki na ukaguzi wa Bodi za Wadhamini za Taasisi/Asasi kutoka Ofisi ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) iliyosomwa na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu Bi Emmy Hudson wa kwanza kulia wakati wa kikao maalum na waandishi wa habari Makao Makuu Jijini Dare es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Sifuni Mchome. Kwa habari zaidi ingia ukurasa wa Habari na Makala.
[ View Pictures..... ]
KAMPENI YA WOSIA MBEYA
Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbeya Bi Quip Mbeyela ambaye ni Mgeni rasmi akiwahutubia Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni ya utoaji elimu na huduma ya msaada wa kisheria bure kuhusu kuandika na kuhifadhi Wosia na mambo ya Mirathi hii leo katika viwanja vya stendi ya Kabwe Jijini Mbeya kulia kwake ni Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Jiji la mbeya Bw Vicent Msolla na wengine ni Mawakili wa serikali kutoka RITA Makao Makuu. RITA inaendelea na kampeni kama hizi katika Wilaya mbalimbali nchi nzima kuhakikisha wananchi wanafahamu umuhimu wa kuandika na kuhifadhi Wosia na kushughulikia mambo ya mirathi ambapo eneo hilo limeonekana kuwa na migogoro mingi inayopelekea familia nyingi kukosa haki ya kurithi mali alizoziacha Marehemu na hivyo kusababisha Watoto kuacha shule na kukimbilia mitaani pamoja na Wajane kuanza maisha mapya ya umasikini na majuto.
[ View Pictures..... ]
MIAKA KUMI KUANZISHWA KWA RITA
Miaka kumi ya kuanzishwa kwa Wakala wa usajili Ufilisi na Udhamini RITA, mnamo tarehe 23 Juni 2006 Wakala ulianzishwa. Zaidi ya Watoto 20 waliozaliwa katika Hospitali ya Amana Manispaa ya Ilala Jijini Dare esalaam siku ya kuzaliwa kwa RITA na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa papo hapo ambapo Wataalam wetu wa mambo ya Usajili waliweka kambi kwa siku moja na kutoa huduma hiyo bure.
[ View Pictures..... ]
UPIMAJI VVU NA MAGONJWA SUGU
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson akipima kwa hiari VVU na magonjwa sugu yasiyoambukiza mara baada ya mafunzo kuhusu kujikinga na namna bora ya kukabiliana nayo sambamba na kutoa msaada kwa wale wanaishi na magonjwa hayo mahala pa kazi, Mafunzo hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa mikutano wa RITA Makao Makuu Jijini Dar es salaam ambapo zaidi ya Watumishi 150 kutoka Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara walipatiwa mafunzo pamoja na upimaji wa hiari.
[ View Pictures..... ]
KAMPENI YA USAJILI - CHATO
Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe Shaaban Ntarambe akiwahutubia Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni maalum ya Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa hii leo katika viwanja vya Stendi ya zamani Wilayani humo, RITA inaendelea kutoa huduma ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa katika kampeni kama hizi Wilaya mbalimbali Tanzania Bara na sasa ni zao ya Wananchi wa Chato Mkoani Geita.
[ View Pictures..... ]
Elimu ya Wosia na Mirathi
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe Fadhili Nkurlu akiwahutubia Wananchi wakati wa ufunguzi wa kampeni ya utoaji elimu na huduma ya kuandika na kutunza Wosia iliyofunguliwa wiki hii Jijini Arusha, kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Daniel Machunda na kulia ni Afisa Usajili wa RITA, Bw August Mbuya.
[ View Pictures..... ]
Baraza la Wafanyakazi 2016
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof, Sifuni Mchome akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi katika ufunguzi wa kikao cha 17 kilichoanza leo Jijini Dar es salaam, Kulia kwake ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bi Emmy Hudson, na kushoto kwake ni Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Bw August Mbuya.
[ View Pictures..... ]
WANANCHI WAKIPATA HUDUMA
Wananchi wametakiwa kufuatilia vyeti vya kuzaliwa vya Watoto wao ndani ya siku 90 mara baada ya Mtoto kuzaliwa ili kuepukana na msongamano unaosababishwa na uharaka wa cheti hicho pindi kinapohitajika sehemu mbalimbali za huduma za kijamii ikiwemo bima ya afya na Mamlaka za ajira. Kwa upande wa watu wazima na vijana ambao hawana vyeti vya kuzaliwa ni vizuri kuanza mapemba taratibu za maombi ya usajili na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa kabla havijahitajika kwa matumizi mbalimbali. Ni kawaida kila mwaka kuwa na kundi kubwa la vijana kutoka vyuo mbalimbali na shule za sekondari wanaohitaji kujiunga na masomo au kuomba ajira na hivyo kukosa nyaraka hiyo muhimu na kusababisha wengi wao kuhitaji kwa haraka hali inayosababisha msongamano katika ofisi za RITA kote Nchini ikiwemo Makao Makuu Jijini Dar es salaa.
[ View Pictures..... ]
Wizara na Taasisi za Serikali.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe leo amekutana na wawakilishi wa Taasisi za Serikali zilizo na jukumu la Kusajili Asasi za Kijamii na Bodi za Wadhamini kwa lengo la kujadili kuwepo kwa mfumo bora na utaratibu wa kuzisajili Asasi hizo.
[ View Pictures..... ]
Kikao cha Kamati ya CRVS
KAMATI YA KITAIFA YA URATIBU WA UTEKELEZAJI WA USAJILI WA MATUKIO MUHIMU KWA MWANADAMU YAKUTANA OFISI ZA RITA. =================================================== Wajumbe wa Kamati ya Uratibu wa Usajili wa Matukio Muhimu kwa Mwanandamu (CRVS) ambayo ni Vizazi, Vifo na sababu zake, Ndoa na Talaka imekutana hii leo jijini Dar es Salaam ili kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za KAMATI. Kikao hicho cha siku moja kimefanyika katika Ukumbi wa mikutano wa RITA Makao Makuu na Kuhudhuriwa na Wajumbe kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali.
[ View Pictures..... ]
Kampeni wilaya ya Arusha
Kampeni ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa katika Wilaya ya Arusha
[ View Pictures..... ]
ZIARA YA KATIBU MKUU- RITA
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome, leo ametembelea Makao Makuu ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa ajili ya kufunza Majukumu yanayotekelezwa na Wakala. Katika ziara hiyo aliambatana na Makatibu Wakauu wawili wa Wizara Hiyo, Bi. Suzan Mlawi na Bw. Amon Mpanju Akiwa RITA, Katibu Mkuu alipewa maelezo Kuhusu Majukumu Mbalimbali ya Wakala, mafanikio na changamoto za utekelezaji wa majukumu hayo. Pia aliweza kutembelea Vitengo mbalimbali kujionea kazi zinavyotekelezwa kwa vitendo na baada ya hapo aliongea na manejimenti ya Wakala.
[ View Pictures..... ]
Ziara.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Dkt Harrison Mwakyembe alipotembelea Ofisi za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Makao Makuu Jijini Dare es salaam kujionea Huduma mbalimbali zinazotolewa na Wakala.
[ View Pictures..... ]
Cheti cha kuzaliwa ni Haki
Ndoto ya mafanikio ya maisha kwa Mtoto wako yamo ndani ya Cheti cha Kuzaliwa
[ View Pictures..... ]
Uzinduzi wa Bodi Mpya
Katibu Mkuu- Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akimkabidhi nyaraka kuhusu RITA Mwenyekiti wa Bodi Mpya ya ushauri ya Wakala Prof. Hamisi Dihenga katika hafla ya Uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa RITA, Jijini Dar es Salaam.
[ View Pictures..... ]
SALAMU ZA PONGEZI
Salamu za Pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
CRVS STRATEGY
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Maimuna Tarishi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Usajili na Takwimu za Matukio muhimu ya Binadamu jijini Dare es salaam.
[ View Pictures..... ]
Tathimini ya Usajili Mwanza
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson akitoa hotuba kuhusu mafanikio yaliyofikiwa katika utekelezaji wa Mkakati wa Usajili wa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano (5BRI) uliozinduliwa mwezi Juni 2015 Mkoa Mwanza, Mkutano wa tathimini ya Mkakati huo unaoendelea katika Hoteli ya Gold Crest Jijini Mwanza.
[ View Pictures..... ]
Tathimini ya Usajili Mwanza
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson akitoa hotuba kuhusu mafanikio yaliyofikiwa katika utekelezaji wa Mkakati wa Usajili wa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano (5BRI) uliozinduliwa mwezi Juni 2015 Mkoa Mwanza, Mkutano wa tathimini ya Mkakati huo unaoendelea katika Hoteli ya Golden Crest Jijini Mwanza.
[ View Pictures..... ]
Tathimini ya Usajili Mwanza
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson akitoa hotuba kuhusu mafanikio yaliyofikiwa katika utekelezaji wa Mkakati wa Usajili wa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano (5BRI) uliozinduliwa mwezi Juni 2015 Mkoa Mwanza, Mkutano wa tathimini ya Mkakati huo unaoendelea katika Hoteli ya Golden Crest Jijini Mwanza.
[ View Pictures..... ]
Tathimini ya Usajili Mwanza
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson akitoa hotuba kuhusu mafanikio yaliyofikiwa katika utekelezaji wa Mkakati wa Usajili wa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano (5BRI) uliozinduliwa mwezi Juni 2015 Mkoa Mwanza, Mkutano wa tathimini ya Mkakati huo unaoendelea katika Hoteli ya Gold Crest Jijini Mwanza.
[ View Pictures..... ]
Mkutano na waandishi wa HabarI
NOTISI YA KUSUDIO LA KUZIFUTA TAASISI/ ASASI 76
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika viwanja vya Mnazi Mmoja
[ View Pictures..... ]
Wiki Utumishi wa Umma 2015
Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
[ View Pictures..... ]
U5BRI
Launch of the Under Five Birth Registration Initiative in Mwanza Region
[ View Pictures..... ]
MEI MOSI 2015
WAFANYAKAZI WA RITA WAMEUNGANA NA WENZAO DUNIANI KOTE KATIKA MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2015
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kushoto kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Mkuu wa kitengo cha ndoa na talaka Jane Balongo kutoka RITA akifafanua jambo wakati wa mafunzo juu ya usajili wa vizazi,vifo ndoa na talaka yaliyofanyika makao makuu ya VICOBA jijini Dar es salaam, kulia kwake ni Rais wa VICOBA Mh Devota Likokola.
[ View Pictures..... ]
VICOBA
Zaidi ya wanachama wa 200 VICOBA kutoka sehemu mbalimbali jijini Dar es salaam na mikoa jirani hii leo wamepatiwa elimu juu ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa, Ndoa na Talaka kwa lengo la kuwasaidia wakati wa shuguli zao za ujasilia mali ikiwemo mikopo, kumiliki mali , ardhi pamoja na haki ya kurithi mali ya mwenza pindi inapotokea amefariki dunia.
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na wanawake wote katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na wanawake wote katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na wanawake wote katika kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na Wanawake wote kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika tarehe 08 machi kila mwaka.
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na Wanawake wote kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika tarehe 08 machi kila mwaka.
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
RITA yaungana na Wanawake wote kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika tarehe 08 machi kila mwaka.
[ View Pictures..... ]
Maadhimisho siku ya Wanawake
Siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
Siku ya Wanawake Duniani
RITA Yaungana na Wanawake wote kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani
[ View Pictures..... ]
6-18 BRI Kinondoni Municipal
RITA launches 6-18 Birth Registration Initiative to provide birth certificates to Pupils of primary school in Kinondoni municipality.
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanya kazi wakutana kunduchi bichi katika mafunzo na kubadilishana udhoefu katika kazi
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2015
wafanyakazi wa RITA wakutana pamoja katika mafunzo ya kuwajengea uwezo katika uwajibikaji.
[ View Pictures..... ]
Menejimenti ya RITA
Menejimenti ya RITA ikiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa bw Phillip Saliboko hii leo tarahe 15/12/2014 imekutana na katibu mkuu wa wizara ya katiba na sheria Bi Maimuna Tarishi kwa mara ya kwanza tangu kuwasili wizarani hapo.
[ View Pictures..... ]
Katibu Mkuu
[ View Pictures..... ]
UFUNGUZI WA MAFUNZO BAGAMOYO
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa Angellah Kairuki wiki hii alifungua mafunzo yaliyoandaliwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa ajili ya kuwajengea uwezo Maofisa wa Serikali watakaoshiriki Kuandaa Mpango Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kuboresha Mfumo wa Usajili na Upatikanaji wa Takwimu zake Nchini.
[ View Pictures..... ]
ZIARA YA MAFUNZO
Lengo kubadilishana uzoefu katika utoaji wa huduma kwa wateja kati ya Idara ya uhamiaji na RITA
[ View Pictures..... ]
UZINDUZI WA 6-18 (BRI)
Mkakati wa usajili na utoaji wa njeti vya kuzaliwa kaitika shule za msingi manispaa ya Ilala kwa watoto wenye umri kati ya miaka 6 hadi 18
[ View Pictures..... ]
Disclaimer
|
Privacy Policy
|
Sitemap
Hati Miliki © 2023 - Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Haki zote zimehifadhiwa.